Fork lift unaweza kuisoma chuo cha taifa cha usafirishaji NIT Dar na Chuo cha Bandari Kurasini Dar kuna forklift,front end loader,winch,crane nk.Kwa taarifa zaidi ingia Google visearch vyuo husika hapo juu.
Fork lift unaweza kuisoma chuo cha taifa cha usafirishaji NIT Dar na Chuo cha Bandari Kurasini Dar kuna forklift,front end loader,winch,crane nk.Kwa taarifa zaidi ingia Google visearch vyuo husika hapo juu.
Wadau, Ivi fani ya ku operate mitambo mikubwa kama bulldozer,grader, focal lift, na mingine HEAVY EQUIPMENT inalipa vizuri? Chuo chao kipo wapi, mwenye kujua utamu wa fani hii anisaidie tafadhali wakuu
Mimi nashauri asomee hiyo namba 3 na 4 angalau anaweza kubahatisha kazi kwenye kampuni za logistics akapata maisha.
Hizo grader na excavator wamejazana wengi sana mitaani na tatizo lingine hizo kazi za ujenzi nyingi zinashikiliwa na wachina ambapo hata ukiipata hiyo kazi malipo yake ni duni sana.
Nakumbuka miaka ya nyuma kuna mabrother fulani walikuwa ndio fani yao walikuwa wanakula pesa sana enzi za JK kurudi nyuma,maana walikuwa wakienda site kwenye mradi hawakosi mshahara wa laki 8 na allowance elfu 50 kila siku.
Lakini siku hizi kazi nyingi ni za wachina ukipata mshahara wa laki 4 kachinje kuku.