So far, quote zote ni za watu wa kundi fulani tu..they have one thing on common chama kimoja!
Anyway(back to the topic)
Nikijiuzulu hamtapata waziri mwingine kama mimi-Nchimbi
Serikali yetu imefika hapa ilipo kwa udhaifu wa Rais Kikwete- J.Mnyika!
Kuongezeka kwa magari(foleni) ni ishara ya maendeleo-JK