Ladies and gentlemen, habari za asubuhi!
Jana wakati naianza w'end yangu, nilikua napata 'the lager' maeneo flan. Bar maid aliyekua ananihudumia ni bint wa miaka 17. Nikawa interested nae nikamkaribisha, tukapiga stori mbili tatu hivi. Nikamuuliza kwa nini ameamua kufanya kazi hiyo(barmaid) akiwa bado teenager?
Akanijibu ni kufarakana kwa familia.
"Bro, nimemaliza form 4 mwaka jana, nimesoma kwa shida, baba aligoma kunilipia ada, ananiambia mfate mama ako, mama anaishi na bwana mwingine na hana uwezo".. Mwisho wa kunukuu!
Ikabidi nimtafute meneja wa bar kupata ukweli coz watu hawakawi kujitungia stori. Meneja akaniambia ni kweli..
Nilihuzunikia 'maua' machanga yanaanza kunyauka kwa kukosa kumwagiliwa maji wakati maji yapo.
Nilipomuuliza matokeo, aliniambia ana D tatu..
Ama kweli what goes around comes around! Wanajamvi hali hii mpaka lini? Kwa nini dhambi hii ya wanandoa kugombana inawapata hata hawa wasio na hatia? It real pains kila kukicha street children, wanaojiuza, madanguro n.k yanaongezeka for the same reason. What genenation are we going to have in some near future? Tubadilike wajemeni.. Hayo ndio yangu kwa leo
...
Asubuhi njema!
Jana wakati naianza w'end yangu, nilikua napata 'the lager' maeneo flan. Bar maid aliyekua ananihudumia ni bint wa miaka 17. Nikawa interested nae nikamkaribisha, tukapiga stori mbili tatu hivi. Nikamuuliza kwa nini ameamua kufanya kazi hiyo(barmaid) akiwa bado teenager?
Akanijibu ni kufarakana kwa familia.
"Bro, nimemaliza form 4 mwaka jana, nimesoma kwa shida, baba aligoma kunilipia ada, ananiambia mfate mama ako, mama anaishi na bwana mwingine na hana uwezo".. Mwisho wa kunukuu!
Ikabidi nimtafute meneja wa bar kupata ukweli coz watu hawakawi kujitungia stori. Meneja akaniambia ni kweli..
Nilihuzunikia 'maua' machanga yanaanza kunyauka kwa kukosa kumwagiliwa maji wakati maji yapo.
Nilipomuuliza matokeo, aliniambia ana D tatu..
Ama kweli what goes around comes around! Wanajamvi hali hii mpaka lini? Kwa nini dhambi hii ya wanandoa kugombana inawapata hata hawa wasio na hatia? It real pains kila kukicha street children, wanaojiuza, madanguro n.k yanaongezeka for the same reason. What genenation are we going to have in some near future? Tubadilike wajemeni.. Hayo ndio yangu kwa leo
...
Asubuhi njema!