Simiyu Yetu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 18,949
- 4,633
Halafu anajiita mtumishi wa mungu gwajima hewa kabisa.
That's a Million Dollar Question!Tukiwa na washauri wa namna hii ambao wanawashauri viongozi wanaogombea nafasi za juu za uongozi wa nchi yetu watatufikisha wapi?
Mchungaji ambaye amefikia kudanganya hadi familia kwa taifa atafufikisha wapi?
Tujihadhari sana na wagombea uchwara ambao wameshikiwa akili na watu wa aina ya mchungaji Gwajima ambao wanafikia hatua ya kudanganya hadi familia zao.
Hii ni hatari sana kwa maendeleo ya taifa letu na kama tutaendelea kuwa na kizazi kinachoyumia mwavuli wa dini hakika tutaingizwa shimoni.
Sio huyu aliyesema atamrudisha Amina Chifupa?
POVU la nini? Wewe kama unajua CCM walicho kifanya toa jibu!!! Mimi ninacho kiona ni kile ambacho wahenga walitueleza kwamba kilitengenezwa na wakoloni. Mf. reli, barabara (maana zote mnazo jidai mmejenga wengine tunaona mmekarabati barabara za wakoloni), Ikulu, majengo ya mahakama, magereza, bandari, n.k.
Mtu usipokuwa na background ya knowledge unakuwa kituko hata katika kutoa mchango.
Nani asiyejua kuwa Gwajima aliingia Dar kwa tiketi ya kufufua misukule pale Tanganyika Packers?
Pengine nyie watoto mnaoota meno sasa.
Principle ya tabia ya mtu kama Gwajima ni , once a liar, always a liar.
Na unakumbuka sakata lake na Flora Mbasha limeishia vipi?
Njia ya mwongo ni fupi na Mungu aliye hai kazima anamuumbua tu.
Tukiwa na washauri wa namna hii ambao wanawashauri viongozi wanaogombea nafasi za juu za uongozi wa nchi yetu watatufikisha wapi?
Mchungaji ambaye amefikia kudanganya hadi familia kwa taifa atafufikisha wapi?
Tujihadhari sana na wagombea uchwara ambao wameshikiwa akili na watu wa aina ya mchungaji Gwajima ambao wanafikia hatua ya kudanganya hadi familia zao.
Hii ni hatari sana kwa maendeleo ya taifa letu na kama tutaendelea kuwa na kizazi kinachoyumia mwavuli wa dini hakika tutaingizwa shimoni.
Hizi sasa majitaka hadi kwenda kwa wanafamilia. Ni familia ipi isiyokuwa na issues? Rudisha chooni ulikotoa