mysteryman
JF-Expert Member
- Aug 4, 2011
- 1,080
- 393
Siku 1 baba na mama walilala ktk kitanda double deka na watoto wao wawili....watoto walilala juu wao wakalala chini ilipofika nite kali dingi akataka mchezo so wakaanza mpodo kama kawaida...mzuka ulipanda sana wakatingisha kitanda mtoto mmoja akadondoka....ikabidi wakakatiza wakambembeleza wakamlaza kisha wakakaa kama dk kadhaa kuzuga ili watoto walale tena...walipohisi wamelala wakageukiana kuendelea na mpodo mara yule mtoto mkubwa akasema amina jishike vizuri wameanza tenaaa....wazee hoi duh