Falsafa za wanawake wasioolewa



Hivi, wajua pana watu wameoa au kuolewa lakini wanajuta !?

Japo, kumbuka sijasema watu wasioelewa ama kuoa ila hicho kitu kiwe ni maamuzi binafsi na siyo shinikizo la jamii, ndugu , jamaaa na marafiki.

Maisha hayana formula.
 
Unachekesha kijana haya mawazo hayata kusaidia kamwe ila kwa kuwa mnajua kubisha time itaongea badili fikra
 
poleni sana wakina dada ambao bado.. mungu yu nanyi mtapata
 
poleni sana wakina dada ambao bado.. mungu yu nanyi mtapata
 
umenifanya nicheke sana.
 
hivi kwanimi mwanamke asipoolewa mapema akavuka miaka thelathini...huwa anasimangwa sana na watu hadi jamii anayoishi
lakini
mwanaume akicheleqa kuoa wala hasimangwi..
mwanaume hazeeki lkn mwanamke anazeeka mapema hiyo inatokana na mtazamo wa jamii toka adam hadi leo
 
Sheria za kijamii zinashangaza sana. Aliozitunga sijui nani kwanza zingine sio relevant kabisa kama hii ya kutaka kila mwanamke aolewe wakati waoaji wenye vigezo hawapo. Hii mitazamo inafanya wanawake wanyanyaswe huko ndoani wakitafuta heshima ya jamii. SioSawa.

Kuna mambo mengi sana ya kufanya duniani.
 
Wee kila MTU na maisha yake hatuwez kusikiliza wala kufata mitazamo yako wee sio mungu kama upon ndoan na unaona no vyema in wewe acha tuenjoy life tunayopenda maisha hayana formula

kama unaishi bila formula HUJIELEWI na wala HUJITAMBUI dada. Mwenyezi Mungu ameamrisha:

Mwanzo 1:28
28 Mungu akawabariki na kuwaambia, “Zaeni muongezeke, mkaijaze nchi na kuimiliki; muwatawale samaki wa baharini, ndege wa angani, na kila kiumbe hai kitembeacho duniani.”

Waefeso 5:23
"..Kwa maana mume ni kichwa cha mke kama vile Kristo alivyo kichwa cha kanisa, ambalo ni mwili wake, naye mwenyewe ni Mwokozi wa kanisa."

na pia Waefeso 5:31
31 “..Kwa sababu hii, mwanaume atamwacha baba yake na mama yake, naye ataungana na mkewe, na hawa wawili wata kuwa mwili mmoja.”

Mathayo 19: 4-5
4 Yesu akawajibu, “Je, hamkusoma katika Maandiko Matakatifu kwamba Mungu aliyemuumba mtu tangu mwanzo alimfanya mwanamume na mwanamke, 5 na akasema: ‘Kwa sababu hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake, ataungana na mke wake, nao wawili watakuwa mwili mmoja?

Mathayo 19:10

10 Wanafunzi wake wakamwambia, “Ikiwa mambo ya mume na mkewe ni hivyo, ni afadhali kutooa kabisa.
11 Yesu akawaambia, “Si wote wanaoweza kulipokea fundisho hili, isipokuwa tu wale waliojaliwa na Mungu.
12 Maana kuna sababu kadhaa za kutoweza kuoa: Wengine ni kwa sababu wamezaliwa hivyo, wengine kwa sababu wamefanywa hivyo na watu, na wengine wameamua kutooa kwa ajili ya ufalme wa mbinguni. Awezaye kulipokea fundisho hili na alipokee.”

nasubiri jibu lako anah
 
hahaha, mkuu wanavaaga zile bra za kubana matiti ukija yaona kiuhalisia humrudii tena.. halafu unakuta uvungu umeharibik mpaka ngozi yake inaning'inia
 
Hahahahahaha! Kama alishawahi olewa kabla then akaachika,ndo anazungumza falsafa hiyo.lakini hajawahi hata kuolewa anazungumza hivyo kufariji moyo,na kujipa matumaini.utamu wa ngoma uingie uicheze.
Hii falsafa hata single mother wanaitumia sana mkuu.
 
Hivi, wajua pana watu wameoa au kuolewa lakini wanajuta !?

Japo, kumbuka sijasema watu wasioelewa ama kuoa ila hicho kitu kiwe ni maamuzi binafsi na siyo shinikizo la jamii, ndugu , jamaaa na marafiki.

Maisha hayana formula.
Ndio najua,wapo watu wanajuta kuwepo na hao wanaoishi nao,hivo ndivyo dunia ilivyo na ni lazima yawepo hao ili maisha yawe maisha,maisha si kitu kama hujakutana na mitihani ya namna yoyote na moja ya mitihani ya wanadamu tena mikubwa kabisa basi ni hili swala la mahusiano. Lakini bado wewe kama wewe na pengine kama mwenzako uliyeachana nae anavyosonga mbele na maisha yake ndivyo na wewe inatakiwa hivyo hivyo usonge mbele na maisha yako. Lakini pia maneno yangu mimi si sheria,ila hapa tunapanuana mawazo tu,ni hiari yako kuyachukua au kuyaacha. KAMA UHUSIANO WAKO UNAUMBA AU ULIYUMBA HAIMAANISHI NDIO MWISHO WA KUANZISHA MAHUSIANO NA HAITAKUWA MWISHO WA KUANZISHA MAHUSIANO HADI PALE UNAPOPELEKWA KABURINI,KWASABABU WEWE KUWA NA MAHUSIANO YENYE MIGOGORO SI WA KWANZA WALA SI WA MWISHO WEWE ANGALIA MAISHA YAKO.
 
Naunga mkono hoja mkuu! Tatizo linaanza huyo anayehuburi ndoa sio lazima,haliyakuwa utamkuta ana watoto,au anatafuta watoto wa kwa udi na uvumba,au anatafuta migegedo,kwanini asiishi kama bwana yesu? Akiishi kkama bwana yesu akizungumza hivyo atakuwa sahihi.na hakuna atakaye mpangia
 
Upo sahihi kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…