Emc2
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 16,808
- 16,834
- Thread starter
- #21
Asante Bro kweli JF is the best. Nimepata faraja sana moyoni mwangu. Asante tena Mungu azidi kukupa busara hiyoKwanza hongera rafiki yangu kwa kuamua kufunguka..
Suala hili hutuchanganya vijana wengi..inapofikia wakati wa kuchukua maamuzi magumu..haswa inapokuja suala la kupata mtu wa kuishi nae.
Mimi kwa ushauri wangu. Huyo mwanamke hakufai nasema wazi hakufai..kama ulikwisha muahidi vitu vingi na baadhi ya vitu tayari umeshaanza kumtekelezea..na bado hakuelewi..hiyo ni fika kwamba hakufai na hana nia nawe..pia inaonekana ana uwezo finyu wa kupembea masuala ya mahusiano. "She is not understanding".
Ningependa kukueleza kuwa ndoa ni mkataba wa kudumu kwa siye wakristo hadi hapo mmoja wenu atakapo fariki..ndoa ni mkataba mkubwa na wenye kurasa nyingi kuliko mkataba wowote duniani. hivyo yakupasa kumuomba Mungu akusaidie kuusoma mkataba huo na kuuelewa vema bila kuruka hata mstari mmoja...kabla ya kuweka saini yako ya kudumu isiyo futika..
pia ni ngepa kukueleza kwa hakuna kitu kibaya kama kuidanganya nafsi yako..huyo mwanamke hakufai..na ukitaka kujiaminsha na maamuzi yako ...you must make a decision base on something you have.
mfano fanya hivi..si unataka kupata mwanamke wa kuoa..tafuta karamu na karatasi... then ulozesha sifa zote za mwanamke ambaye ungependa kumwoa awe nazo...(na fahamu ni ngumu kupata wa sifa zote basi angalau zinazo karibia hata 3/4, na zile ambazo hana jiulize kama unaweza kuvumilia/kuabadilika/kumfanya awe nazo)
sasa ukisha ziorozesha match them against the features of your current girlfriend...then from there you can make a good decision...fahamu kwamba maamuzi magumu yanahitaji kujitoa muhanga.
Fahamu kwamba mwanamke lazima awe chini yako..japo nao pia wanafasi ya kuchangia..be a man. A man must act and make hard decisions.
natumai utakuwa umenisoma friend.
Asante