Ndiyo NASA walitaka kufanya hii kwa kushirikuana na that pevert Billy Graham. It is like this,wanazionyesha hizi picha angani za Yesu kwa wanaomwamini Yesu. Wanaomwamini Budha,wanaonyeshwa picha ya Budha,anaongea nao kwa lugha yao. Na manabii wengine wengi. Baadaye hizi picha zote zinaunganika,zinakuja pamoja zinamuonyesha huyo tapeli anayetaka kuitwa mfalme wa dunia.