Zimmermann
JF-Expert Member
- Sep 28, 2010
- 2,790
- 1,232
Wakuu hii fainali inachezwa kwenye saa ngapi hivi kwa muda wa Tanzania??
Hujajibu swalisuarez keshachapa kimoja
Kwa nini mkuu? Mbona anacheza vizuri tu?forlan ni aibuuuu
ooops sorry mkuuHujajibu swali
i think it was a tactical move ... wanaweza wakageuza kibao anytime sasaThis second half has been much better from Paraguayan.Much better, but they are still traill
offcourse ndio ninachomaanisha anacheza vizuriKwa nini mkuu? Mbona anacheza vizuri tu?
Najua una pretend hujaelewa,forlan ni aibu=manaake anatisha kwa kiwango chake.Kwa nini mkuu? Mbona anacheza vizuri tu?
Mkuu alinieleza hapo juu nikamwelewa!Najua una pretend hujaelewa,forlan ni aibu=manaake anatisha kwa kiwango chake.