Titicomb
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 11,324
- 17,829
Anazungumzia royal jellyKumbe nyuki nae ana chuchu za kutoa maziwa!
Anazungumzia royal jellyKumbe nyuki nae ana chuchu za kutoa maziwa!
DuhHivi kati ya nge na nyuki nani Mbowe?
Oh ok ndugu hapo nimeelewaAnazungumzia royal jelly
Acha uzuzuNgoja nifuge hata nyuki 10 wa dawa hapa nyumbani..😎
Maranyingi nimekua nikitamani kukujibu, lakini moyo yangu unaniambia No.Acha uzuzu
Oh ok mkubwa, asante kwa darasaNyuki wachanga huongeza uteute kutoka katika tezi maalum zilizopo
kichwani nakuongezea kwenye mkate wa nyuki wanaoumeza,ndipo
maziwa ya nyuki na jeli ya kifalme huundwa.Nyuki huhifadhi
maziwa yanyuki ndani ya vyumba vidogo vya masega vyenye
viluwiluwi vya nyuki.
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
HhhhhhUkitaka upate hii sumu vizuri inabidi utafute sehemu yenye nyuki wa kutosha,unajifunika usoni halafu unawatibua,nina uhakika ukitoka hapo utakuwa umepata faida zote za sumu ya nyuki...
yajayo yanafurahishamada nzuri
wacha nijitahidi kuchonga mzinga hapa Kkoo
yajayo yanafurahisha
sawa kijana ukumbuke kututumia picha yako ya kila mwezi wakati unapokea hiyo dawa kutoka kwa nyukiKwa style ya Uchumi wa kati
sawa kijana ukumbuke kututumia picha yako ya kila mwezi wakati unapokea hiyo dawa kutoka kwa nyuki
kwaajili ya uhamasishaji tuu
Mm nitaandaa mazingira
Kisha nitatoa huduma kwa Wagonjwa
Ikiwa utahitaji,nitaomba unitafute Chief
Ni kipindi cha kutumia dawa asili