Faida za kupiga CHABO

Halafu Evelyn unajua mimi sikuelewi, yaani penye kadhia upo, penye utani upo labda umeamua kuonekana hivyo ili kuficha uhalisia wako.

haki a mama nakuapia chabo ni raha asikuambie mtu!!!!!!!!!!
 
Kuna tatizo mahali, siyo hivi hivi.

hata mie nilikuwa kama wewe...
nilikuwa nawashangaa sana watu wanaokunywa pombe
naona wanapoteza hela pombe yenyewe chungu kumbe hata sio hivo......!!!!!!
sio kuwa nakuambia ujaribu ila najaribu kukuelewesha zaidi.
 
hata mie nilikuwa kama wewe...
nilikuwa nawashangaa sana watu wanaokunywa pombe
naona wanapoteza hela pombe yenyewe chungu kumbe hata sio hivo......!!!!!!
sio kuwa nakuambia ujaribu ila najaribu kukuelewesha zaidi.

Naelekea kuelewa unachosema, ila nastaajabu jinsi unavyolisifia hili jambo kwa ushujaa wa hali ya juu utafikiri ni issue yenye uhalali na uhalisia fulani...But kwa sababu unasisitiza mie nitapata wapi nguvu ya kupingana na wewe huku sikujui na wala kukuona sijawahi.....Kuna siku nikisoma comment zako najisikia kucheka, siku nyingine huzuni na hata nyingine sielewi lolote hasa kama leo...........
 

ha ha ha sa huelewi nini Tamatheo!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
ha ha ha sa huelewi nini Tamatheo!!!!!!

Yaani leo umenikumbusha wakati mdogo, nilikuwa najizungusha mwenyewe hadi nahisi kizunguzungu nakaa chini kuangalia mauzauza. Leo nami nimeambulia mauzauza toka kwako ila naamini as days go nitakupata vizuri zaidi.
 
Last edited by a moderator:
nani alikubadilisha?
ilikuwaje kuwaje?
ni nini kilikuvutia?
ooh maswali ni mengi please nisaidie kujibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…