By Tamatheo<br />
Kuna tatizo mahali, siyo hivi hivi.
<br />
<br />
hata mie nilikuwa kama wewe...<br />
nilikuwa nawashangaa sana watu wanaokunywa pombe<br />
naona wanapoteza hela pombe yenyewe chungu kumbe hata sio hivo......!!!!!!<br />
sio kuwa nakuambia ujaribu ila najaribu kukuelewesha zaidi.