Faida za kula kwa mkono.

Sky Eclat

JF-Expert Member
Oct 17, 2012
57,597
215,272
Unapotumia mikono kulia chakula, vidole vinatoa enzyme ambayo inasaidia ku activate digestion juice ndani ya tumbo. Unaponawa mikono kuna friendly bacteria ambao hubakia kwenye vidole, hawa ni muhimu kwa mdomo, shingo mpaka tumbo.

Jaribu kupunguza u magharibi na kula kwa kutumia mikono yako hasa ukiwa nyumbani.
 
Unapotumia mikono kulia chakula, vidole vinatia enzyme ambayo inasaidia ku activate digestion juice ndani ya tumbo. Unaponawa mikono kuna friendly bacteria ambao hubakia kwenye vidole, hawa ni muhimu kwa mdomo, shingo mpaka tumbo.

Jaribu kupunguza u magharibi na kula kwa kutumia mikono yako hasa ukiwa nyumbani.
sahihi kabisa..
 
Unapotumia mikono kulia chakula, vidole vinatia enzyme ambayo inasaidia ku activate digestion juice ndani ya tumbo. Unaponawa mikono kuna friendly bacteria ambao hubakia kwenye vidole, hawa ni muhimu kwa mdomo, shingo mpaka tumbo.

Jaribu kupunguza u magharibi na kula kwa kutumia mikono yako hasa ukiwa nyumbani.
Nilimuona mtu anakula ugali na mlenda kwa uma na kisu.... Nilimshangaa mpaka naye akanishangaa
 
Unapotumia mikono kulia chakula, vidole vinatia enzyme ambayo inasaidia ku activate digestion juice ndani ya tumbo. Unaponawa mikono kuna friendly bacteria ambao hubakia kwenye vidole, hawa ni muhimu kwa mdomo, shingo mpaka tumbo.

Jaribu kupunguza u magharibi na kula kwa kutumia mikono yako hasa ukiwa nyumbani.
Inategemea mkuu,hivi kama nakula makande inakuwaje?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom