Hahahhahah huyu jamaa atakuwa amateur kwenye game ya ndoa!Umeoa? Kama umeoa shukuru hujakutana na changamoto bado ,,, lakini jua ipo siku utakuja na uzi wa kuukana huu uzi wako wa leo....
Faida za mchepuko:Kama wewe ni mtu ambaye huchepuki, nakupongeza sana na hamna ambacho unakikosa kutoka kwa mwenza wako. Watu wengi wanafikiri kuna amani au furaha ambayo wataipata wakichepuka, ukweli ni kwamba kila siku wanazidi kukimbizana na wanawake wapya na hawakipati wanachokipata. Baki njia kuu, hata kama kuna foleni utafika unakoenda kwa amani na bila magonjwa.
Zifuatazo ndizo faida za kubaki njia kuu.
Utapata amani moyoni
· Utaepukana na magonjwa
· Utakuwa na Furaha isiyo elezeka
· Utajimini zaidi
Mke wako atakupenda zaidi (atajua umeacha kuchepuka hata usipomwambia)
· Utafurahia tendo la ndoa zaidi
(Michepuko haina chochote cha zaidi ambacho
· mkeo au mumeo hana)Utasonga mbele kimaendeleo
· Utapata muda mwingi wa kuwa na familia yako
Sent using Jamii Forums mobile app
LegendaryFaida za mchepuko:
-Unakirimiwa kama mfalme pindi unapoingia kwenye anga lake ni mwendo wa kubembelezwa tu kama mtoto.
-Unagonga mda wowote ukitaka huduma ni 24/7 na ushirikano ni 100% mchepuko anaonesha mahaba katika kiwango cha 4K!
-Anapenda uwe na amani ya moyo muda wote unapokuwa nae hawezi kutumia lugha za kishenzi kama mke mwenye mazoea ya kijinga.
-Anakusaidia kutolilia tunda kila siku kwa mke pale nyumbani na kukuepusha na fedhea za kupangiwa ratiba ya kula mbususu mwisho unaonekana boya.
-Anasaidia kuepuka stress za mke sababu unakuwa huna time nae hata akiongea upuuzi matokeo yake mke anaongeza hali ya kukumiss zaidi na kuimarisha ndoa.
-Kama mchepuko una mawe unasaidia kwenye assist za hapa na pale ukikwama.
Nuksi sio lazima itoke kwa mwanamke hapa nimezungumzia mwanamke kwasababu mada inahusu mchepuko...!!!Hizi nuksi hua zinatupata sisi maskini tu.. ina maana mo dewji alipotekwa ilikua ni nuksi ya kutembea na mwanamke au? Mbona yeye hapati nuksi au hatafuni mbususu?
Inawezekana kabisa mkuu baki njia kuu mchepuko haufaiInawezekana kumbe
Umeoa? Kama umeoa shukuru hujakutana na changamoto bado ,,, lakini jua ipo siku utakuja na uzi wa kuukana huu uzi wako wa leo....
Wife anakimbiaa???Huwa nikitoka kuchepuka huwa napiga show ya kibabe sana hadi wife anakimbia. Maana nakua nalitafuta la 3 na mara nyingi huwa haliji hata nikeshee
Sawa mkuu
Kweli mkuu Kuna watu Wana andamwa na mikosi lukuki kwa sababu ya michepukoUpo sahihi, lakini pia sio tu kupunguza Kinga ya mwili unaweza ukaambukizwa nuksi pia maana michepuko wengine Wana nuksii....!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
AiseeHuwa nikitoka kuchepuka huwa napiga show ya kibabe sana hadi wife anakimbia. Maana nakua nalitafuta la 3 na mara nyingi huwa haliji hata nikeshee
For the record, wanawake hawajali sana kuhusu wewe kuchepuka kwasababu hata usipochepuka ndio unamfanya awe suspicious na wewe na kukosa amani na ww.Kama wewe ni mtu ambaye huchepuki, nakupongeza sana na hamna ambacho unakikosa kutoka kwa mwenza wako.
Watu wengi wanafikiri kuna amani au furaha ambayo wataipata wakichepuka, ukweli ni kwamba kila siku wanazidi kukimbizana na wanawake wapya na hawakipati wanachokipata.
Baki njia kuu, hata kama kuna foleni utafika unakoenda kwa amani na bila magonjwa.
Zifuatazo ndizo faida za kubaki njia kuu.
Utapata amani moyoni
· Utaepukana na magonjwa
· Utakuwa na Furaha isiyo elezeka
· Utajimini zaidi
Mke wako atakupenda zaidi (atajua umeacha kuchepuka hata usipomwambia)
· Utafurahia tendo la ndoa zaidi
(Michepuko haina chochote cha zaidi ambacho
· Mkeo au mumeo hana)Utasonga mbele kimaendeleo
· Utapata muda mwingi wa kuwa na familia yako
Sent using Jamii Forums mobile app
Ubarikiwe sana mtumishi kwa mawaidha yako mazuri.Kama wewe ni mtu ambaye huchepuki, nakupongeza sana na hamna ambacho unakikosa kutoka kwa mwenza wako.
Watu wengi wanafikiri kuna amani au furaha ambayo wataipata wakichepuka, ukweli ni kwamba kila siku wanazidi kukimbizana na wanawake wapya na hawakipati wanachokipata.
Baki njia kuu, hata kama kuna foleni utafika unakoenda kwa amani na bila magonjwa.
Zifuatazo ndizo faida za kubaki njia kuu.
Utapata amani moyoni
· Utaepukana na magonjwa
· Utakuwa na Furaha isiyo elezeka
· Utajimini zaidi
Mke wako atakupenda zaidi (atajua umeacha kuchepuka hata usipomwambia)
· Utafurahia tendo la ndoa zaidi
(Michepuko haina chochote cha zaidi ambacho
· Mkeo au mumeo hana)Utasonga mbele kimaendeleo
· Utapata muda mwingi wa kuwa na familia yako
Sent using Jamii Forums mobile app
Muda wa kukaa na familia yangu ninao na maendeleo ninayo yakutosha na mchepuko ninao hapo unasemajeKama wewe ni mtu ambaye huchepuki, nakupongeza sana na hamna ambacho unakikosa kutoka kwa mwenza wako.
Watu wengi wanafikiri kuna amani au furaha ambayo wataipata wakichepuka, ukweli ni kwamba kila siku wanazidi kukimbizana na wanawake wapya na hawakipati wanachokipata.
Baki njia kuu, hata kama kuna foleni utafika unakoenda kwa amani na bila magonjwa.
Zifuatazo ndizo faida za kubaki njia kuu.
Utapata amani moyoni
· Utaepukana na magonjwa
· Utakuwa na Furaha isiyo elezeka
· Utajimini zaidi
Mke wako atakupenda zaidi (atajua umeacha kuchepuka hata usipomwambia)
· Utafurahia tendo la ndoa zaidi
(Michepuko haina chochote cha zaidi ambacho
· Mkeo au mumeo hana)Utasonga mbele kimaendeleo
· Utapata muda mwingi wa kuwa na familia yako
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ENDELEA na huyohuyo mchepuchepu ukijichanganya na michepuko yatakukuta yaliyomkuta kanga kukosa manyoya mkianiSio kila mchepuko ni mbaya na una nuksi hapana .....sema wewe mwenzetu michepuko yako unaiokota tu ndio maana hivyo.....ila ukija kukutana na mchepuko unao jielewa Nini unafanya aisee ujiona mfalme Sana haya maisha .
Tafuta michepuko inayo jielewa na sio kujizolea zolea tu ili mradi ni mtu Ana mbususu.