ZOYA internet
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 202
- 384
Wadau najua wapo watu mnaotafuta wi-fi router nzuri huku so nimeona niwaletee uzi huu huenda ukawa msaada kwa wengine.
FAIDA ZA KUWA NA WI-FI ROUTER ZA TIGO (YAS)
Ndugu yangu kua na hii wi-fi router kuna faida nyingi sana, kama unajiweza kidogo, jitahidi usikose kifaa hiki.
1. Ukiwa na wi-fi unaweza kukuza biashara yako. kwasababu wateja watapenda kuja ofisin kwako wakijua kuna free wi-fi, pia wewe utakua huru kupost biashara zako mtandaoni ukiwa hauhofii kuishiwa bando mana wi-fi router za tigo zina bando unlimited na speed yake ni kubwa.
2. Kuokoa gharama za bando. Ukweli ni kua bando za kawaida zinaumiza sana mana ukipiga hesabu ya gb 1 kwa 2100 mfano ikiwa kwa siku unatumia gb 1 basi kwa mwezi unatumia 63000. pigia mara watu wote mliopo kwenye ofisi, taasisi au nyumbani kwenye familia yako na majirani, ukizidisha utakuta hela ni kubwa sana mnayotumia. Kukata hizo cost zote mngechukua wi-fi router ya tigo mana inaunganisha hadi watu 64, yani watu 64 wote mnatumia bando unlimited
3. Wi-fi router za tigo zina speed kubwa na zina technology ya 5G pia hazisumbui au kukata katikati ya mwezi, speed kuanzia 20mbps hadi 200mbps hivyo utakua na stable internet connection mda wote.
4. Kifaa ni portable yani kinabebeka kirahisi unaweza kuhamisha, mfano kutoka ofisini kwenda nyumbani kwenye gari unaweza kutembea nacho huku wi-fi ikiwa inafanya kazi. Pia kifaa kinasambaza wi-fi eneo kubwa, zaidi ya mita mia moja
BEI NA UTARATIBU WA MALIPO.
Utaratibu wa malipo upo wa aina mbili, utaratibu wa mara ya kwanza unapohitaji wifi na utaratibu wa kulipia kila mwezi.
UTARATIBU WA MARA YA KWANZA.
Mara ya kwanza unalipia kiasi cha sh.250,000, kiasi hicho ni kwaajili ya kupatiwa kifaa(router) pamoja na bando unlimited lenye speed ya Mbps 100. Pia utapewa offer mwezi unaofuata hautalipia, kwahiyo ukishatoa hiyo 250000 miezi miwili yote utatumia wi-fi router yako bila kulipia, utaanza kulipia mwezi wa tatu na kuendelea.
UTARATIBU WA KULIPIA KILA MWEZI
Kila mwezi utakua unalipia laki moja, hii ni kwa speed ya 20mbps (inawezatosha kabisa kama mtakaokua mnatumia wifi hamzidi 20) au 150,000 kwa mbps 50(kama mnaoenda kutumia wi-fi ni wengi zaid ya 20) pia kama unahitaji speed kubwa zaidi ya hapo kuna 200,000 Mbps 100 na 400,000 mbps200. Uzuri ni kua malipo ya kila mwezi unaweza kulipia kidogo kidogo hadi umalize, huku ukiwa unaendelea kutumia internet, kiasi chochote kuanzia 1000 kinapokekewa.
JINSI YA KULIPIA
ukiwa umeshaamua kuchukua router yako, utawasiliana na mm Agent wa tigo(DSA) nita request tigo wewe kupatiwa huduma, utatumiwa Message ya kulipia kutoka tigo moja kwa moja utalipia. Hakuna hela unayomtumia mtu yoyote malipo yote yanaenda tigo direct.
KUFIKISHIWA KIFAA(DELIVERY)
ukishafanya malipo tigo, utaniambia sehem ulipo popote Tanzania utatumiwa kifaa bila kutoa gharama za usafiri yani free delivery. Kwa waliopo dar-es- salaam na morogoro unaweza fanya malipo tukiwa tumeshakutana.
Karibu sana hutajuta kujiunga na huduma hii, utatamani ungekua umeifaham hii huduma tangu zamani
Mawasiliano: 0717700921
FAIDA ZA KUWA NA WI-FI ROUTER ZA TIGO (YAS)
Ndugu yangu kua na hii wi-fi router kuna faida nyingi sana, kama unajiweza kidogo, jitahidi usikose kifaa hiki.
1. Ukiwa na wi-fi unaweza kukuza biashara yako. kwasababu wateja watapenda kuja ofisin kwako wakijua kuna free wi-fi, pia wewe utakua huru kupost biashara zako mtandaoni ukiwa hauhofii kuishiwa bando mana wi-fi router za tigo zina bando unlimited na speed yake ni kubwa.
2. Kuokoa gharama za bando. Ukweli ni kua bando za kawaida zinaumiza sana mana ukipiga hesabu ya gb 1 kwa 2100 mfano ikiwa kwa siku unatumia gb 1 basi kwa mwezi unatumia 63000. pigia mara watu wote mliopo kwenye ofisi, taasisi au nyumbani kwenye familia yako na majirani, ukizidisha utakuta hela ni kubwa sana mnayotumia. Kukata hizo cost zote mngechukua wi-fi router ya tigo mana inaunganisha hadi watu 64, yani watu 64 wote mnatumia bando unlimited
3. Wi-fi router za tigo zina speed kubwa na zina technology ya 5G pia hazisumbui au kukata katikati ya mwezi, speed kuanzia 20mbps hadi 200mbps hivyo utakua na stable internet connection mda wote.
4. Kifaa ni portable yani kinabebeka kirahisi unaweza kuhamisha, mfano kutoka ofisini kwenda nyumbani kwenye gari unaweza kutembea nacho huku wi-fi ikiwa inafanya kazi. Pia kifaa kinasambaza wi-fi eneo kubwa, zaidi ya mita mia moja
BEI NA UTARATIBU WA MALIPO.
Utaratibu wa malipo upo wa aina mbili, utaratibu wa mara ya kwanza unapohitaji wifi na utaratibu wa kulipia kila mwezi.
UTARATIBU WA MARA YA KWANZA.
Mara ya kwanza unalipia kiasi cha sh.250,000, kiasi hicho ni kwaajili ya kupatiwa kifaa(router) pamoja na bando unlimited lenye speed ya Mbps 100. Pia utapewa offer mwezi unaofuata hautalipia, kwahiyo ukishatoa hiyo 250000 miezi miwili yote utatumia wi-fi router yako bila kulipia, utaanza kulipia mwezi wa tatu na kuendelea.
UTARATIBU WA KULIPIA KILA MWEZI
Kila mwezi utakua unalipia laki moja, hii ni kwa speed ya 20mbps (inawezatosha kabisa kama mtakaokua mnatumia wifi hamzidi 20) au 150,000 kwa mbps 50(kama mnaoenda kutumia wi-fi ni wengi zaid ya 20) pia kama unahitaji speed kubwa zaidi ya hapo kuna 200,000 Mbps 100 na 400,000 mbps200. Uzuri ni kua malipo ya kila mwezi unaweza kulipia kidogo kidogo hadi umalize, huku ukiwa unaendelea kutumia internet, kiasi chochote kuanzia 1000 kinapokekewa.
JINSI YA KULIPIA
ukiwa umeshaamua kuchukua router yako, utawasiliana na mm Agent wa tigo(DSA) nita request tigo wewe kupatiwa huduma, utatumiwa Message ya kulipia kutoka tigo moja kwa moja utalipia. Hakuna hela unayomtumia mtu yoyote malipo yote yanaenda tigo direct.
KUFIKISHIWA KIFAA(DELIVERY)
ukishafanya malipo tigo, utaniambia sehem ulipo popote Tanzania utatumiwa kifaa bila kutoa gharama za usafiri yani free delivery. Kwa waliopo dar-es- salaam na morogoro unaweza fanya malipo tukiwa tumeshakutana.
Karibu sana hutajuta kujiunga na huduma hii, utatamani ungekua umeifaham hii huduma tangu zamani
Mawasiliano: 0717700921