KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,902
- 9,323
..................kwanza unapokuwa unarudi kwa mpenzi wako hata akil7inga wewe unamcheka moyoni!
#1 Unakuwa na kumbukumbu ya kufuta massage na dial call na kubakiza za washikaji!!
#2 Kutoandika namba za ukweli katika Phone Book!
#3 Kujua kupangilia mda wakukutana na cheater wako!
#4 Kuwa na kumbukumbu ya Password ya simu yako!
#5 Ukitaka kwenda hata kuoga huwezi kuacha simu hovyohovyo nivigumu kupoteza simu!
#6 Kuwa na simu ya ziada haidha unaiacha offisini au katika gari!
#7 Nimarufuku kuweka sauti kwenye simu, hii nikuzuia noises mambo ya mazingira hayo!
#8 Ukitoka kugegeda ni marufuku kutumia visabuni vya hotelini vile vidogo!!
Zingine mtaendeleza #TeamB
#1 Unakuwa na kumbukumbu ya kufuta massage na dial call na kubakiza za washikaji!!
#2 Kutoandika namba za ukweli katika Phone Book!
#3 Kujua kupangilia mda wakukutana na cheater wako!
#4 Kuwa na kumbukumbu ya Password ya simu yako!
#5 Ukitaka kwenda hata kuoga huwezi kuacha simu hovyohovyo nivigumu kupoteza simu!
#6 Kuwa na simu ya ziada haidha unaiacha offisini au katika gari!
#7 Nimarufuku kuweka sauti kwenye simu, hii nikuzuia noises mambo ya mazingira hayo!
#8 Ukitoka kugegeda ni marufuku kutumia visabuni vya hotelini vile vidogo!!
Zingine mtaendeleza #TeamB