semmy samson
Member
- Dec 20, 2010
- 85
- 0
naomba kuuliza wana JF eti faida za kupima ukimwi nini? au baada ya kujua mtu anaukimwi faida yake nini?
maana naona watu wakishajijua wana ukimwi ndo wanaendelea kuusambaza kwa nguvu. ebu nisaidienikwa hilo madoctor wa JF.
maana naona watu wakishajijua wana ukimwi ndo wanaendelea kuusambaza kwa nguvu. ebu nisaidienikwa hilo madoctor wa JF.