Zijue faida za Kiafya za Kitunguu Swaumu (Garlic) Featured

Ngoja nitoe ushuhuda kidogo, kuna siku nilikula tembe za kitunguu swaumu sijui viwili ama vitatu sikumbuki vizuri, daah kwenye mechi siku hiyo mpaka partner alibaki kushangaa jinsi mpambano ulivyopamba moto!
 
1901937_10153904283060198_624787199_n.jpg
 
BAADHI YA MARADHI YANAYOTIBIWA NA KITUNGUU SWAUMU;
1.Kiua sumu
2.Kisafisha tumbo
3.Kiyeyusha mafuta(cholestro)
4.Huzuia mvilio wa damu
5.Kusafisha njia ya mkojo
6.Kutibu amoeba
7.Kuzuia kuhara damu(Dysentery)
8.Tumbo kushindwa kumeng'enya(Indigestion)
9.Gesi
10.Msokoto wa tumbo
11.Typhoid
12.Kidonda kilichooza
13.Dondakoo
14.Mabaka
15.Baridi yabisi(Rheumatisim)
16.Mishipa
17.Uziwi
18.Virusi vya homa ya mafua(Influenza)
19.Mafua
20.Saratani(Cancer)
21.Kifaduro
22.Kifua kikuu cha mapafu
23.Kipindupindu
24.Kutoa minyoo
25.Upele
26.Kuvunjavunja mawe katika figo
27.Mba kichwani
28.Kuupa nguvu ubongo
29.Kuupa nguvu fizi
30.Kuzuia meno kung'ooka
31.Nguvu za kiume
32.Maumivu ya kichwa
33.Kizunguzungu/kisunzi
34.Kutuliza maumivu ya meno
35.Kujenga misuli na kutia nguvu
36.Mkakamo wa ateri(Arteriosclerosis)
37.Shinikizo la damu
38.Kinga ya tauni na ukimwi
39.Magonjwa ya macho
a9cd4580312648f3ab3af8db54c6909b.jpg


Kwa mahitaji ya kitunguu saumu kilicho tayarishwa

Piga au SMS 0714547830

Kwa Tsh 5000 tu

Ubungo- delivery ipo

love without limits
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom