The Intelligent
JF-Expert Member
- Dec 27, 2013
- 2,459
- 824
.
Habari zenu wana MMU.
Usiku wa kuamkia leo nikiwa nimelala mida ya saa saba na nane hivi nikaamshwa na sauti iliyokuwa ikiniita, kwanza nikauchuna, sauti ikawa inaendelea kuniita ni sauti ya mtoto wa dada yangu, ilipozidi nkaona bora niamke nihakikishe labda nilikuwa naota.
Nikiwa macho kabisa nkaanza kusikia naitwa tena, baada ya muitaji kuona siitiki akaanza kutumia sauti ya dada yangu mkubwa, sauti ikawa inaniita kwa ukali niamke nikafungue mlango, nikagundua ni wanga tu.
So......?
Watakubutua ngoja waje na swaumu zao.
Habari zenu wana MMU.
Usiku wa kuamkia leo nikiwa nimelala mida ya saa saba na nane hivi nikaamshwa na sauti iliyokuwa ikiniita, kwanza nikauchuna, sauti ikawa inaendelea kuniita ni sauti ya mtoto wa dada yangu, ilipozidi nkaona bora niamke nihakikishe labda nilikuwa naota.
Nikiwa macho kabisa nkaanza kusikia naitwa tena, baada ya muitaji kuona siitiki akaanza kutumia sauti ya dada yangu mkubwa, sauti ikawa inaniita kwa ukali niamke nikafungue mlango, nikagundua ni wanga tu.
Habari zenu wana MMU.
Usiku wa kuamkia leo nikiwa nimelala mida ya saa saba na nane hivi nikaamshwa na sauti iliyokuwa ikiniita, kwanza nikauchuna, sauti ikawa inaendelea kuniita ni sauti ya mtoto wa dada yangu, ilipozidi nkaona bora niamke nihakikishe labda nilikuwa naota.
Nikiwa macho kabisa nkaanza kusikia naitwa tena, baada ya muitaji kuona siitiki akaanza kutumia sauti ya dada yangu mkubwa, sauti ikawa inaniita kwa ukali niamke nikafungue mlango, nikagundua ni wanga tu.
Habari zenu wana MMU.
Usiku wa kuamkia leo nikiwa nimelala mida ya saa saba na nane hivi nikaamshwa na sauti iliyokuwa ikiniita, kwanza nikauchuna, sauti ikawa inaendelea kuniita ni sauti ya mtoto wa dada yangu, ilipozidi nkaona bora niamke nihakikishe labda nilikuwa naota.
Nikiwa macho kabisa nkaanza kusikia naitwa tena, baada ya muitaji kuona siitiki akaanza kutumia sauti ya dada yangu mkubwa, sauti ikawa inaniita kwa ukali niamke nikafungue mlango, nikagundua ni wanga tu.
Habari zenu wana MMU.
Usiku wa kuamkia leo nikiwa nimelala mida ya saa saba na nane hivi nikaamshwa na sauti iliyokuwa ikiniita, kwanza nikauchuna, sauti ikawa inaendelea kuniita ni sauti ya mtoto wa dada yangu, ilipozidi nkaona bora niamke nihakikishe labda nilikuwa naota.
Nikiwa macho kabisa nkaanza kusikia naitwa tena, baada ya muitaji kuona siitiki akaanza kutumia sauti ya dada yangu mkubwa, sauti ikawa inaniita kwa ukali niamke nikafungue mlango, nikagundua ni wanga tu.
hahahaaaa! ebhana nilitaka kujua kama kweli wewe ni wa Tarime! hahaaa!Mkuu mura acha kutufehesha, unataka kusema sisi akina mura ni wanga? aisee nitake radhi mura kabla sijatembeza panga sasa hivi.
Hapo faida iko wapi?
Hamna mkuu, mimi hawawezi, kwani wewe walikukula tigo?
...nikagundua ni wanga tu.
Nipo dar mkuu.
So......?
Watakubutua ngoja waje na swaumu zao.
Nilisahau kuweka kiulizo mkuu.