FAIDA YA KUUZA TOFARI.

FAIDA YA KUUZA TOFARI.

MusuKuma

Member
Joined
Jan 30, 2021
Posts
33
Reaction score
87
Kwema wapendwa Kuna mtu anahitaji kuanzisha project ya kufyatua tofari na kuuza . Naomba kujua kwa niaba yake na wengine walio na wazo Hilo wajifunze.

Je biashara hii inachangamoto zipi, pia mtaji wake lakini Sana tujue Bei ya mashine huska.
Karibuni.
 
Back
Top Bottom