Faida na Afya

Nasri39

Member
Joined
Jul 19, 2021
Posts
15
Reaction score
19
Hali iliofikia sasa watu wanajali biashara kuliko afya. Embu chukua mfano wa biashara za ufugaji kuku wa mayai.. je mayai tunayokula ni salama?

Japo faida yake kubwa. Najiulizaga sana: hivi watu wanapaita faida au hasara? Yani pesa au mgonjwa kipi kinatawala????🤔
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…