Faida chache za mrehani au kivumbasi.

Faida chache za mrehani au kivumbasi.

third eye chakra

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2023
Posts
919
Reaction score
2,155
Mrehani hutumiwa kawaida katika mazoea ya kiroho kwa ulinzi, ustawi, na upendo.
Mara nyingi hutumiwa katika mila kuzuia uovu, kuvutia bahati nzuri, na kukuza nguvu chanya.

Mrehani pia inajulikana kwa uwezo wake wa kutakasa maeneo na kusafisha mwili na nafsi.

kumbuka pia mmea huu ni tiba ya magonjwa mbalimbali
Husaidia magonjwa ya sukari °husaidia watu wenye pumu °inatibu maumivu ya tumbo °huondoa sumu katika mwili.
MDHARAU ASILI HUFA KIKATILI.
 

Attachments

  • 1746949673030.jpg
    1746949673030.jpg
    232.3 KB · Views: 54
  • 1746949661490.jpg
    1746949661490.jpg
    232 KB · Views: 53
Kumbe ndo huu mmea? Nimesikia et wanatumia kwenye biashara zao kutoa nuksi
 
Mrehani hutumiwa kawaida katika mazoea ya kiroho kwa ulinzi, ustawi, na upendo.
Mara nyingi hutumiwa katika mila kuzuia uovu, kuvutia bahati nzuri, na kukuza nguvu chanya.

Mrehani pia inajulikana kwa uwezo wake wa kutakasa maeneo na kusafisha mwili na nafsi.

kumbuka pia mmea huu ni tiba ya magonjwa mbalimbali
Husaidia magonjwa ya sukari °husaidia watu wenye pumu °inatibu maumivu ya tumbo °huondoa sumu katika mwili.
MDHARAU ASILI HUFA KIKATILI.
Unatumikaje ?
 
Mrehani hutumiwa kawaida katika mazoea ya kiroho kwa ulinzi, ustawi, na upendo.
Mara nyingi hutumiwa katika mila kuzuia uovu, kuvutia bahati nzuri, na kukuza nguvu chanya.

Mrehani pia inajulikana kwa uwezo wake wa kutakasa maeneo na kusafisha mwili na nafsi.

kumbuka pia mmea huu ni tiba ya magonjwa mbalimbali
Husaidia magonjwa ya sukari °husaidia watu wenye pumu °inatibu maumivu ya tumbo °huondoa sumu katika mwili.
MDHARAU ASILI HUFA KIKATILI.
Tupe maarifa zaidi ya kuutumia
 
Swala la hayo majani kuwa dawa ya tumbo ni 100% sure…

Binafsi nishaitumia sana nikawa nahisi ni imani tu inaponya hyo ni zaidi ya flagile.
Pia niliiptisha binafsi kwa mtoto wangu mdogo zaidi ya mara 3+ nishampa na anapona kabsa akiwa anaumwa tumbo.

Hapo wazee wa miti shamba walitisha sana kwenye tafiti yao.
 
Kwa watoto akiumwa kichwa, unachukua hayo majani ( kivumbasi) unayatia mwenye maji na kumsugua dogo kichwani kwa nguvu kiasi, baada muda kichwa kitapoa ....Hii nimefanyiwa sana na Marehemu) Mzee wangu.
 
Hapo kuna aina mbili tofauti ya majani, na kivumbashi yenyewe haipo hapo kwenye picha
 
Kumbe ndo huu mmea? Nimesikia et wanatumia kwenye biashara zao kutoa nuksi



Inatumikaje kwa kuondoa nuksi?



loweka kwenye maji changanya na chumvi ya mawe ogea siku tatu asubuhi na jioni tia nia yako

wakati unakoga maji ya mwisho yatakayobakia mwaga mbele ya duka lako au nyumba yako au njia panda(kulingana na hitaji)

siku ya mwisho jitie miski nyeupe nenda kwenye interview au dili yako inatiki ama mchumba hatoi ela mbahili nenda hiyo siku ama unazungushwa deni unanyimwa TENDA nenda hiyo siku mambo mukide

Nb:- siku tatu ukiwa unakoga utakiwi kuoga na sabuni na usipake lotion yoyote wala mafuta mgando ikiwa ngozi yako kavu paka mafuta ua nazi ya kutengeneza asilia ( sio palachuti)
utakiwi kut'omba ukiwa unafanya hiyo dawa kwa siku hizo zote wala kupiga nyeto


BinSalum7 ukitaka nuksi zikukimbie kwanza kimbia zinaa ukiweza kuishindwa zinaa umeishinda vita kubwa ya mafanikio yako
 
Back
Top Bottom