Fahamu zaidi kuhusu Wachagga

Tujiulize pia na hayo makabila yanayojua kufanya mapenzi je ndoa zao huwa zinadumu kama ilivyo kwa ndoa za wachaga
 
Wengi wao ni waizi/majambazi.

SIM dhana yako imepitwa na wakati. Kila Mtu anajua ufisadi, wizi, na ujambazi unaoedelea Tanzania. Na haufanywi na wachaga pekeyao , unafanywa na makabila yote mchanganyiko.
 
Umaskini wa Tanzania umechochewa na makabila tuliyonayo, wachaga wanahusika pia na umaskini wetu.Wapo wachaga wanaofikiri kila mahali wanaweza kuanzisha baa,wapo wanaofikiri kila sehemu wanaweza anzisha gereji,kila mahala anaweza akaendesha bajaj,kila sehemu anaweza akachoma kitimoto.,kila mahala..............

Ukweli ni kwamba mambo ya kiTanzania yapo kiloko sababu ya wachaga.Nchi haiendeshwi na wachuuzi na waendesha bajaj
Nchi itaendelea iwapo tu kama watu watatumia akili kutatua matatizo yao ya kijumla na si kibinafsi hii habari sisi wachaga ni hivi au vile naona kama bado tupo kwenye primitive stage .Swali kwa wachaga baada ya miaka 100 bado mtakuwa wachaga na hii kasi ya kujichanganya na kuolewa na makabila mengine?
 

Tutaendelea kuwa wachagga ndugu! hamna jamii iliyochanganyikana kama wayahudi lakini bado wamesimama kama wayahudi. Kwa hulka damu ya kichagga haipotei hata kama amezaa na mwanaume wa kihindi, tunatabia zetu zinazotutambulisha. pole sana msiojali ndugu na hata watoto wenu wa kuwazaa wenyewe.
 

Una akili fupi sana. 1989 Ndiyo mwaka uliozaliwa siyo?
 

Hii safi sana na bado!
 
Aisee! Hivi kumbe wachagga nitishio kiasi hiki?

Sent from my BlackBerry 9630 using JamiiForums
 
Kwani TZ bado ina makabila?? Do you want to take us to Kenya??? Kujadili mada kama hii will not help anything in the problem we are facing in this nation as per today. Can we discuss about the issue of Government v/s Doctors bse our mothers, brothers, sisters etc ar innocently dying due to this crisis...
 
Waliacha sehemu hizo kwa kilimo cha nafaka because mlimani kuna mvua nyingi isiyofaa kwa nafaka kama vile mahindi, maharage na ulezi. Ndizi kahawa,majimbi, vibere, vikwa, mboga za majani, miwa na matunda kadhaa yanahitaji mvua nyingi za mlimani. Watu pia wanahitaji hewa baridi na joto l a wastani lililokuwepo kabla ya climate change. Mlimani kuna maji ya kutosha ya chemchemi na mito hivyo wakaona si busara kukaa kasa kusikokua na maji. Hata hiiyo siku hizi wachaga wamekuwa wengi wanajaribu pia kujenga huko kasa na kufanya makazi ya kudumu.
 
Una akili fupi sana. 1989 Ndiyo mwaka uliozaliwa siyo?

unataka tuogope kuchanganyika na wa tz wenzetu kwa kuogopa uchagga kupotea? TZ kwanza. kama akili zangu fupi zako zaidi. Nimerudia tu ulivyonitukana ndugu, maana nyie mnatafuta wa kuwalaani bila sababu.
 
unataka tuogope kuchanganyika na wa tz wenzetu kwa kuogopa uchagga kupotea? TZ kwanza. kama akili zangu fupi zako zaidi. Nimerudia tu ulivyonitukana ndugu, maana nyie mnatafuta wa kuwalaani bila sababu.

Nonsense,unajichanganya tu.Siamini kama kabila linatengeneza tabia ya mtu,bali mazingira.Unataka kuniambia mchagga aliyezaliwa na kukulia Bukoba atakuwa na tabia zinazofanana na yule aliyezaliwa na kukulia Moshi kwa sababu tu wote ni wachagga?Jipange dogo
 
A
Asante.
 
 
Nimeenda wilaya moja iliyoko mwishoni mwa Tanzania, mbali kabisa na asili ya wachagga, wilaya ya Ngara mkoani kagera imepakana na Burundi na Rwanda, nimekuta huku matajiri wakuu wanaoendesha hii wilaya ni wachaga. Yuko bwana mmoja anaitwa Mboya na mwingine anaitwa Temu. Nimekuja tena hapa Sengerema wilaya iliyoko mkoani Mwanza tajiri mkubwa hapa anaitwa Mosha. Nadhani haya yote ni majina ya wachagga.
 
kama ww ni mkazi wa Kagera nenda Kyaka na maeneo mengine uone jinsi Mangi anavyochacharika bila kusahau utengenezaji na unywaji wa pombe yetu maarufu ya mbege!Bukoba, Moshi unamaanisha mikoa au? kiazi kweli ww.[/QUOTE]

Angalia unavyoendelea kuonesha utoto wako.Hivi unasoma vizuri kabla ya kujibu?Ngoja nikuache,1989 nilikuwa standard three!!
 
This thread is updated every time b'se i started it before the current controversial issue of Drs. vs. The Government.
 
Namba tatu weka data mkuu bse ua argument is still vague! Is it a research or hearsay??

Nina maswali 3 juu ya wachaga??

1-kwa nini wachaga wanapenda sana chapaa?

2-kwanini wachaga wa siku hizi wamejiingiza sana ktk vitendo vya ushoga?

3-kwa nini wachaga wengi wanaongoza kuwa na ma sugar mummy?​


Vipi kuhusu namba mbili,mmejiridhisha na kuridhika nayo kwamba wengi wenu siku hizi mmekua mbuzi wa shughuli mna miili ya simba lakini vitendo vya farasi kutwa kupandwa?mmeyajulia wapi haya nyie wabara!mambo ya kuiga yana tabu sana
 
Vipi kuhusu namba mbili,mmejiridhisha na kuridhika nayo kwamba wengi wenu siku hizi mmekua mbuzi wa shughuli mna miili ya simba lakini vitendo vya farasi kutwa kupandwa?mmeyajulia wapi haya nyie wabara!mambo ya kuiga yana tabu sana
Kuna mtu kaulizwa kuhusu no mbili na katolea ufafanuzi na hakua na data.......kama unazo data weka hapa cio kubweka tu.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…