Teknolojia ni Yetu sote
JF-Expert Member
- Apr 28, 2020
- 1,221
- 2,425
Duniani kuna mambo mengi ya ajabu ambayo watu wengi hawayajui na ikitokea umeyajua unaweza sema hauko dunia hii!
Dark web ni ulimwengu wa tovuti ambao huwezi kupata au kuingia kwa kawaida kutafuta tu. Maana yake ni mfumo wa tovuti ambao hautumi www (world wide web). Ni mtandao wa siri ambao una mambo mengi ya ajabu yanayopatikana huko.
Ukitaka kuingia kwenye dark web basi kuna software au app ambayo inaitwa maalum ukitumia hiyo utaweza ku access dark web, kule akuna kutumia (.com) utakuta na (.onion).
Kwenye dark web kuna Facebook mitandao mingine ya kijamii iko kule, japo mambo mengi ya haramu yanapatikana kule kama uuzaji wa sliaha, madawa ya kulevya, mauaji, wizi, hacking nk.
Je, una zifahamu website hatarishi zilizopo kwenye dark web?
Human experiment
Hii ni tovuti ambayo kazi yao ni kufanya majaribio binadamu walio hai, yaani wanachukuliwa kutoka maeneo tofauti tofauti wanatekwa na kwenda kufanyiwa majaribio kama upasuaji, kumwagiwa tindikali, kutolewa mimba, kuzikwa ukiwa hai nk.
Kwenye hii tovuti kauli yao wanasema "Not all human are equal", some of them were born to superior to others ~ "Binadamu wote hatuko sawa, baadhi wamezaliwa kuwa Bora kuliko wengine."
cannibal forum
Hii ni tovuti inayohusika na ulaji wa nyama za binadamu tena live live, yaani kwenye hii tovuti wanaonyesha jinsi ya kula baadhi ya viungo vya mwanadamu tena vibichi au kwa kuvipika.
Last words
Hizi ni tovuti ambazo zinakuonyesha sauti pamoja na video za watu tofauti tofauti wakisema maneno yao ya mwisho kabla hawajafa, hivyo utasikia sauti za watu wakitamka maneno ya mwisho mwisho.
The human product
Katika dark web, bidhaa kadhaa zinauzwa zilizotengenezwa na wanadamu kama vile chakula, pochi za mikanda na na mavazi. Tovuti hii kauli yao wanasema "Usivae Manyoya" ~ Do not wear Fur.
Kazi ya hii website ni kuuza bidhaa zinatokana na ngozi ya binadamu kuanzia viatu, nguo, mikanda, pochi, ni hatari.
Hitman service
Hii ni tovuti ambayo ina kundi la wauaji na kazi yao ni kuua watu ambao unawapa oda wanakufanyia kazi, wao wanafanya kazi popote japo wapo USA, Canada na European wale wenye ma Ex
.
Ila sheria yao wanasema hawawezi kuua mtoto mdogo mwenye umri kuanzia miaka 16 kushuka chini pamoja na wanasiasa wakubwa.
Teknolojia ni yetu sote
Dark web ni ulimwengu wa tovuti ambao huwezi kupata au kuingia kwa kawaida kutafuta tu. Maana yake ni mfumo wa tovuti ambao hautumi www (world wide web). Ni mtandao wa siri ambao una mambo mengi ya ajabu yanayopatikana huko.
Ukitaka kuingia kwenye dark web basi kuna software au app ambayo inaitwa maalum ukitumia hiyo utaweza ku access dark web, kule akuna kutumia (.com) utakuta na (.onion).
Kwenye dark web kuna Facebook mitandao mingine ya kijamii iko kule, japo mambo mengi ya haramu yanapatikana kule kama uuzaji wa sliaha, madawa ya kulevya, mauaji, wizi, hacking nk.
Je, una zifahamu website hatarishi zilizopo kwenye dark web?
Human experimentHii ni tovuti ambayo kazi yao ni kufanya majaribio binadamu walio hai, yaani wanachukuliwa kutoka maeneo tofauti tofauti wanatekwa na kwenda kufanyiwa majaribio kama upasuaji, kumwagiwa tindikali, kutolewa mimba, kuzikwa ukiwa hai nk.
Kwenye hii tovuti kauli yao wanasema "Not all human are equal", some of them were born to superior to others ~ "Binadamu wote hatuko sawa, baadhi wamezaliwa kuwa Bora kuliko wengine."
cannibal forumHii ni tovuti inayohusika na ulaji wa nyama za binadamu tena live live, yaani kwenye hii tovuti wanaonyesha jinsi ya kula baadhi ya viungo vya mwanadamu tena vibichi au kwa kuvipika.
Last wordsHizi ni tovuti ambazo zinakuonyesha sauti pamoja na video za watu tofauti tofauti wakisema maneno yao ya mwisho kabla hawajafa, hivyo utasikia sauti za watu wakitamka maneno ya mwisho mwisho.
The human productKatika dark web, bidhaa kadhaa zinauzwa zilizotengenezwa na wanadamu kama vile chakula, pochi za mikanda na na mavazi. Tovuti hii kauli yao wanasema "Usivae Manyoya" ~ Do not wear Fur.
Kazi ya hii website ni kuuza bidhaa zinatokana na ngozi ya binadamu kuanzia viatu, nguo, mikanda, pochi, ni hatari.
Hitman serviceHii ni tovuti ambayo ina kundi la wauaji na kazi yao ni kuua watu ambao unawapa oda wanakufanyia kazi, wao wanafanya kazi popote japo wapo USA, Canada na European wale wenye ma Ex
. Ila sheria yao wanasema hawawezi kuua mtoto mdogo mwenye umri kuanzia miaka 16 kushuka chini pamoja na wanasiasa wakubwa.
Teknolojia ni yetu sote