The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 9,251
- 20,486
Unamaanisha mbunye?Kiumbe mwerevu kuliko Wote duniani.
Anaijua vema siri ya tunda la mti wa Kati tangu dunia hii imeumbwa[emoji12]
Unamaanisha mbunye?Kiumbe mwerevu kuliko Wote duniani.
Anaijua vema siri ya tunda la mti wa Kati tangu dunia hii imeumbwa[emoji12]
Siku hizi kuongopa tabu wapo nyoka wanajulikana ukipata bahati mbaya umekwisha no ant doteNauza dawa ya sumu ya nyoka aina zote, napatikana Gongolamboto... kwa maelezo zaidi njoo PM
Unadhani Adam na Eve wangekuwa wachina hako kanyoka kangekuwepo? wangekuwa wameki soup zamani tuKiumbe mwerevu kuliko Wote duniani.
Anaijua vema siri ya tunda la mti wa Kati tangu dunia hii imeumbwa[emoji12]
Mkuu una dawa ya Koboko (Black mamba) , Kobra na Kifutu (puff adder)?Nauza dawa ya sumu ya nyoka aina zote, napatikana Gongolamboto... kwa maelezo zaidi njoo PM
Mkuu hiki si ni chuo? Joking [emoji38]Anamfikia TIA?
Wanae pia buibui mwenye sumu inayotosha kuua binadamuInaonekana Australia kuna nyoka wenye sumu Kali sana
UmekaririshwaUsitudanganye. Black Mamba hana mfano wa Jambo jingine kwenye kung'oa uhai na siamini Kama Kuna mwingine zaidi yake.