ze-dudu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 18,694
- 24,741
Humpendi shoga yakoHuyu sijui kwanini aliletwa duniani, simpendi, na wenzake jongoo na mende agrrrr
Humpendi shoga yakoHuyu sijui kwanini aliletwa duniani, simpendi, na wenzake jongoo na mende agrrrr
Msalimie sana Kayuni Shop hapo MangakaMkuu fafanua npo MANGAKA -NANYUMBU nimemuonyesha mtu hii sms yako kashangaa kaniambia kumbe nyoka wanapandwa Kama mbegu za mahind ardhin? Anasema wanachipua baada ya mda gan na mbegu zake zpo wapi?
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Bangi anaivutia ndani ya maji na ikambangua kweliSema Mungu ni Fundi na anajua kupangilia viumbe vyake, kuna yule nyoka mwingine anaitwa water snake yeye yupo sana kwenye maji baridi sana kwenye maziwa na mito.
Haka nako kwenye top ten ya nyoka hatari kamo ni mkubwa kuliko huyo Sea snake ila na yeye pia ni mpole mpole.
Huyu nilishamshuhudia kwa macho yangu alimpa dozi muhuni mmoja alikua anavuta bangi ziwani alilia siku ikabid wa mwambie akae humo humo majini ili dokta aitwe.
Huyo muhuni alikufa baada ya mwezi hivi ko hyo inshu ilituogopesha kwenda ziwani [emoji23][emoji23].
Ulicho google Ni tofauti na tunachojadili au kumzungumzia.Hyo ni list ya Australia tu ila top 5 kidunia Black Mamba yupo View attachment 1817602
Ooh zmefka mkuu huyu jamaa wakinjumbi nn?Msalimie sana Kayuni Shop hapo Mangaka
Hapa uniweke sawa,mbona black mamba anawinda kwa kuyadunga mawindo yake sumu halafu anayala inakuwaje sumu yake hamdhuru ilhali simu yenyewe inapungua tumboni mwake?Sumu ya nyoka ipo kwenye gland,, haina direct contact na blood,, and inakuwa released as defensive mechanism response hyo iko triggered na nervous system,, ila hyo sumu yake akidungwa nayo mwenyew anakufa,, gland ya sumu za nyoka ziko connected na fangs zao for striking
Swali la nyongeza..... Hivi inakuwaje hiyo sumu ya nyoka haimuathiri mwenyewe ikiwa ndani ya mwili wake ?
Nyoka wa kwanza kwa sumu kali duniani ni huyo Inland Tapainkuna kile kinyoka cha majini kinaitwa sea snake kinaumbo dogo dogo tu lakin sumu yake sio ya nchi hii.Nilisoma mahali kuwa ndo kanaongoza kuwa na sumu kali na hatari kuliko vinyoka vyote.
Sumu yake inauwezo wa kuua binadamu 500 n.k kwa wakati mmoja kama wasipo pewa huduma haraka.
Good news ni kuwa haka kajamaa hakana tabia ya kushambulia watu hovyo labda ukachokoze mwenyewe.Ukikutana nako wala hata hakana tyme na wewe hakaoni sababu ya kuharbu sumu yake kwa limtu likubwa ambalo haliwezi kummeza.
Kwa taarifa zaidi ingia YouTube ama google
Aliyekwambia chatu anasumu nani,,mfuate muulize tena akiwa mzima na akili timamu,,,Chatu tena!!
Elimu ndugu nchi ina malofa wengi sana hiiNa kwenye orodha ya Nyoka 10 wenye sumu kali Dniani hakuna Nyoka mweusi wala wa kijani.
Sasa utamsikia Mbongo anakwambia Nyoka wa kijani ni hatari sana, ana sumu kali sana....sijui wanatoaga wapi?
We Evelyn Salt kama unamuogopa sana mende mbona kifo chake unakifurahia sana anavyolala akiwa amekufa.Huyu sijui kwanini aliletwa duniani, simpendi, na wenzake jongoo na mende agrrrr
Si kwasababu amekufa sasa, akiwa hai simpendiWe Evelyn Salt kama unamuogopa sana mende mbona kifo chake unakifurahia sana anavyolala akiwa amekufa.