MalcolM XII
JF-Expert Member
- Mar 19, 2019
- 5,236
- 14,206
Kisukari hasa type II huwa kinawapata sana watu wanene ikikadiriwa kufika hadi asilimia 40.
Nauru ni nchi na pia ni kisiwa kidogo kinachopatikana kwenye bahari ya Pacific juu kidogo ya Australia.
Kwa mujibu wa takwimu za WHO, Nauru ndio nchi inayoongoza kwa kuwa na watu wanene zaidi kwenye jamii zao, ikiwa na jumla ya watu takribani 10,000 nchi nzima huku asilimia 94.5 ya watu wake wakiwa ni wanene (obese) na wazito kupita kiasi (overweight).
Inakadiriwa kuwa watu wa Nauru wana wastani wa uzito wa kuanzia kilo 100 na kuendelea. Wastani wa BMI ukiwa kuanzia 34 hadi 35.
Sababu ikielezwa kuwa ni urithi unaopita kutoka kizazi hadi kizazi.
Vijana wa Nauru
Mgonjwa wa kisukari huko Nauru
Mkazi wa Nauru
Wanawake wa Nauru
Rais wa Nauru
Vile vile nchi ya Nauru ni moja kati ya nchi ambazo hazina mito inayotiririsha maji, huku ikiwa na jumla ya kilomita 30 tu za barabara zote.
Pia Nauru ni moja kati ya nchi 16 duniani ambazo hazina jeshi la nchi. Wao wanategemea/wanahakikishiwa ulinzi kutoka katika nchi ya Australia.
Hakuna hata kituo cha polisi!
Kama na wewe mwanajamvi ukiambiwa ukaanze maisha huko utaenda?
Nauru ni nchi na pia ni kisiwa kidogo kinachopatikana kwenye bahari ya Pacific juu kidogo ya Australia.
Kwa mujibu wa takwimu za WHO, Nauru ndio nchi inayoongoza kwa kuwa na watu wanene zaidi kwenye jamii zao, ikiwa na jumla ya watu takribani 10,000 nchi nzima huku asilimia 94.5 ya watu wake wakiwa ni wanene (obese) na wazito kupita kiasi (overweight).
Inakadiriwa kuwa watu wa Nauru wana wastani wa uzito wa kuanzia kilo 100 na kuendelea. Wastani wa BMI ukiwa kuanzia 34 hadi 35.
Sababu ikielezwa kuwa ni urithi unaopita kutoka kizazi hadi kizazi.
Vijana wa Nauru
Mgonjwa wa kisukari huko Nauru
Mkazi wa Nauru
Wanawake wa Nauru
Rais wa Nauru
Vile vile nchi ya Nauru ni moja kati ya nchi ambazo hazina mito inayotiririsha maji, huku ikiwa na jumla ya kilomita 30 tu za barabara zote.
Pia Nauru ni moja kati ya nchi 16 duniani ambazo hazina jeshi la nchi. Wao wanategemea/wanahakikishiwa ulinzi kutoka katika nchi ya Australia.
Hakuna hata kituo cha polisi!
Kama na wewe mwanajamvi ukiambiwa ukaanze maisha huko utaenda?