KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 10,569
- 21,075
Kama ulikua hulijui kabila la WAHADZABE wacha nikufahamishe;-
WAHADZABE ni moja ya makabila yanayopatikana nchini TANZANIA,
Kabila hili linapatikana mkoani MANYARA,
Hasa katika wilaya ya SERENGETI eneo liitwalo BONDE LA UFA kuzunguka ZIWA EYASI,
Kwasasa kabila hili lina watu wasiozidi 500,
Kabila hili lina maajabu mengi sana ya kipekee.
MAAJABU YA WAHADZABE
1) HAWAOGI MPAKA MVUA
Wahadzabe hawaogi kama binaadamu wengine,
Wao huoga pale tu ambapo mvua inaponyesha,
Mvua isipo nyesha kamwe wahadzabe hawaogi,
Wanaishi hivyo hivyo hata miezi mitatu bila kuoga,
Hufanya hivyo kwasababu wao wanaamini kuwa,
Maji yaliopo ardhini ni maalumu kwa ajili ya kunywa,
Pamoja na kuoshea nyama pamoja na mizizi tu.
2) VYAKULA VYAO
Wahadzabe chakula chao kikuu ni NYAMA na MIZIZI,
Wahadzabe wanakula MNYAMA yeyote watakae muona porini,
Ikiwemo nyani, ngedere, paka , nyoka, mbwa na kadhalika.
3) WIVU
Wahadzabe hawana wivu kabisa na mwanamke,
Yani kuchukuliana wanawake kwao ni kitu cha kawaida.
4) HAWALIMI WALA HAWAFUGI
Wahadzabe ni kabila ambalo halilimi wala halifugi,
Wao maisha yao yote shughuli yao ni uwindaji tu.
5) LUGHA YAO
Wahadzabe lugha yao niya kipekee kabisa,
Haiingiliani na lugha yeyote yaani wao sio wabantu,
Kwa hapa TANZANIA makabila ambayo siyo wabantu ni mawili,
Ambayo ni kabila la MASAI na hawa wahadzabe.
WAHADZABE ni moja ya makabila yanayopatikana nchini TANZANIA,
Kabila hili linapatikana mkoani MANYARA,
Hasa katika wilaya ya SERENGETI eneo liitwalo BONDE LA UFA kuzunguka ZIWA EYASI,
Kwasasa kabila hili lina watu wasiozidi 500,
Kabila hili lina maajabu mengi sana ya kipekee.
MAAJABU YA WAHADZABE
1) HAWAOGI MPAKA MVUA
Wahadzabe hawaogi kama binaadamu wengine,
Wao huoga pale tu ambapo mvua inaponyesha,
Mvua isipo nyesha kamwe wahadzabe hawaogi,
Wanaishi hivyo hivyo hata miezi mitatu bila kuoga,
Hufanya hivyo kwasababu wao wanaamini kuwa,
Maji yaliopo ardhini ni maalumu kwa ajili ya kunywa,
Pamoja na kuoshea nyama pamoja na mizizi tu.
2) VYAKULA VYAO
Wahadzabe chakula chao kikuu ni NYAMA na MIZIZI,
Wahadzabe wanakula MNYAMA yeyote watakae muona porini,
Ikiwemo nyani, ngedere, paka , nyoka, mbwa na kadhalika.
3) WIVU
Wahadzabe hawana wivu kabisa na mwanamke,
Yani kuchukuliana wanawake kwao ni kitu cha kawaida.
4) HAWALIMI WALA HAWAFUGI
Wahadzabe ni kabila ambalo halilimi wala halifugi,
Wao maisha yao yote shughuli yao ni uwindaji tu.
5) LUGHA YAO
Wahadzabe lugha yao niya kipekee kabisa,
Haiingiliani na lugha yeyote yaani wao sio wabantu,
Kwa hapa TANZANIA makabila ambayo siyo wabantu ni mawili,
Ambayo ni kabila la MASAI na hawa wahadzabe.