Wild sniper
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 4,353
- 8,465
Kaa sehemu yenye network nzuri maana ikiwa inacheza lazima igome kwenye sabini.Kaka naomba nisaidie
Nilifuata taratbu zote za ku-root sim yang tecno y3+
Nika-install KINGROOT
Lakin nikijarib ku-root ila inaishia asilimia ya 70% halaf ina-fai
Naomba nielekez namna ya kuroot hii sim TECNO Y3+