Fahamu kuhusu mitego mitatu hatari ya kichawi na jinsi ya kuiepuka

Fahamu kuhusu mitego mitatu hatari ya kichawi na jinsi ya kuiepuka

KING MIDAS

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2010
Posts
10,569
Reaction score
21,075
FAHAMU KUHUSU MITEGO MITATU HATARI YA KICHAWI NA JINSI YA KUIEPUKA.


Wachawi wengi hutumia mbinu mbalimbali katika kufanikisha mipango yao ya kichawi kwa watu walio kusudia kuwadhuru kwa uchawi.

Katika kufanikisha hilo, wachawi hutumia mbinu na mitego mbalimbali ya kichawi. Miongoni mwa mitego hiyo ni ya kawaida kabisa ya kichawi ni pamoja na mchawi kukukaribisha chakula ama kinywaji ambacho kimewekwa uchawi ama kukupitisha katika njia ambayo imewekwa tego la kichawi na kadhalika.

Sitaizungumzia sana mitego ya aina hiyo hapo juu kwa sababu inajulikana na wengi na ni rahisi kubaini kuwa unategwa kichawi.

Leo nitaizungumzia mitego mikuu mitatu ambayo watu wengi hawaifahamu.


UCHAWI WA MTEGO WA SHILINGI

Uchawi wa mtego wa shilingi ni uchawi unao fanya kazi ya kufunga ridhiki ya mtu na kumfilisi kabisa.

JINSI INAVYOKUWA :

Ili mchawi afanikiwe kufunga ridhiki ya muhusika wake kwa kutumia aina hii ya uchawi ni lazima afanikiwe kupata hela yoyote yenye thamani ya chini sana kutoka kwa mhusika wake. Hela hiyo ni lazima isiwe ya karatasi na ni lazima iwe hela yenye thamani ndogo sana.

Huwa inakuwa hivi, mzee mmoja unae muheshimu sana mtaani kwenu ama kijijini kwenu atakufuata na kukuomba umsaidie shilingi hamsini, au shilingi mia au shilingi mia mbili (Miaka ya nyuma walikuwa wanaomba shilingi, thumni, sh.kumi au sh.tano au shilingi ishirini zile za chuma,ambazo kwa sasa hazipo tena kwenye mzunguko wa fedha.)

Mzee huyo atakwambia ana anataka kununua kahawa au ugoro na ana shida na shilingi hamsini tu. Kama sio mzee basi anaweza kutumwa hata mtoto mdogo na kukwambia “ Uncle naomba sh. Hamsini nikanunue pipi n.k.

Ukimpa shilingi hamsini, utakuwa umecheza bonge la
blanda. Shilingi hiyo hamsini itakwenda kufanyiwa uchawi
mbaya sana ambao siwezi kuelezea hapa namna
unavyo fanyika. Matokeo ya uchwai huo ni kwamba ridhiki yako
itafungwa kabisa, utakuwa unashika sh. Hamsini hamsini tu, thamani yako itakuwa sawa sawa na thamani ya shilingi hamsini, na mwisho wa siku utafilisika kabisa na kurudia maisha ya chini kabisa.

JINSI YA KUJIEPUSHA NA UCHAWI HUU :

Njia bora kabisa ya kujikinga na uchawi ni kuuepuka. Hivyo basi kujikinga na uchawi huu, fanya yafuatayo :

1. Mtu akikuomba hela yoyote yenye thamani ya chini kama vile sh. Hamsini, mia, au mia mbili, mkatalie usimpe kabisa.

AU

2. Mpe shilingi elfu kumi. wengine ukiwapa elf kumi wana kataa wanakwambia kachenchi basi we kataa

MTEGO WA NYOKA.

Lengo la mtego huu ni kumchukua mtu msukule ama kumuua kabisa kwa njia ya uchawi. Vile vile mtego huu unatumika kuua vitoto vichanga, kumuua mwanamke mjamzito au kunyofoa mimba ya mwanamke mjamzito na kumfanya asizae.

Mtego huu ni wa hatari sana kwani kuubaini ni vigumu sana na kwa jinsi unavyo tumwa ni vigumu sana kuchomoka , yaani lazima uingie mtegoni.

JINSI INAVYOKUWA :

Mtego huu mara nyingi huwa unakuja katika sura kuu
tatu :

1. Sura Ya Kwanza : Jini aliye vaa sura na umbo la nyoka huingia hadi chumbani
kwako, au hukutokea bafuni au chooni . Kwa vyovyote vile lazima utatafuta njia ya kumuua, ukimuua tu huyo nyoka na wewe ndio unakuwa
mwisho wako hapo, kwa sababu utakuwa unajiua mwenyewe. Baada ya kumuua nyoka huyo utaugua kwa sana na mwisho wa siku utakufa . Nyoka huyo wa kichawi anakuwa ameunganishwa na nafsi yako mwenyewe , hivyo kitendo cha wewe kumpiga nyoka huyo wa kichawi unakuwa unainyonga nafasi yako mwenyewe bila kujijua. NI HATARI SANA!

2. Ndugu yako ama jirani yako ( ambaye lazima atakuwa mwanamke) atakuja nyumbani kwako na kukwambia kuwa kuna nyoka mkubwa ameingia nyumbani/chumbani kwake, sasa ameshindwa kumuua au anaogopa kumuua, na nyumbani kwake kuna watoto tu, hivyo anakuomba ukamsaidie kumuua huyo nyoka. Ukienda kumuua huyo nyoka, umejiua mwenyewe. Utaugua sana na mwisho wa siku utakufa.

3. Ukiwa na mgonjwa ambaye amelazwa nyumbani , atatokea nyoka karibu na kitanda chake na wewe ukiwa kama mwanaume katika familia hiyo, utalazimika kwenda kumuua nyoka huyo ili asimdhuru mgonjwa wako…Ukisha muua tu huyo nyoka, mgonjwa wako hatomaliza siku saba atakufa.

4. Mke wako akiwa anakaribia kujifungua, nyoka huyo atajitokeza katika chumba unacholala wewe na mke wako au katika eneo lolote atakalo kuwapo mke wako. Ukiwa kama mwanaume, kwa vyovyote vile utalazima kumuua nyoka huyo. Ukifanya hivyo, mke wako atakufa wakati wa kujifungua. Au atazaa mtoto aliyekufa na yeye ataugua sana na mwisho wa siku atakufa.

5. Mke wako akiwa amejifungua mtoto au watoto, nyoka huyo ataonekana katika chumba ambacho watoto wenu watakuwa wamelala, eidha peke yao au pamoja na mama yao. Kwa vyovyote vile, utalazimika kwenda kumuua huyo nyoka, ukifanya hivyo, watoto wako wataugua sana na mwisho wa siku watakufa.

UFANYEJE NINI KUEPUKANA NA MTEGO HUU ?

1. Mtu akikuita uende kuua NYOKA usiende.

2. Kwa kuwa ni vigumu sana kujua kama nyoka aliye mbele yako ni halisi au nyoka wa kichawi unapaswa kutumia dawa ya kujikinga na nyoka wa kichawi. Dawa hii yenye nguvu sana haitakukinga tu na nyoka wa kichawi bali pia itakukinga na nyoka wengine wa kawaida. Ukitumia dawa hii, basi kwanza nyoka wa kichwai hawataweza kuingia nyumbani kwako na hata kama ukiwekewa mtego wa kichawi, utamuua nyoka huyo na hutopata madhara yoyote.

MTEGO WA ULIMI :
Uzima na umauti upo ndani ya ulimi wa mwanadamu.

Wachawi wa nchi wanapotaka kumuua mtu kichawi hufanya mambo mbalimbali ya kichawi. Baada ya kufanya ulozi wao ,moja kati ya mambo makubwa wanayo yafanya ni kutengeneza hati ya kichawi ya kifo cha
mlengwa wa uchawi. Hati hiyo ya kichawi itasainiwa na mlengwa mwenyewe kabla ya kutekelezwa bila ya mlengwa mwenyewe kujijua kama ana saini hati ya kifo chake mwenyewe.


KWA NINI NI LAZIMA MLENGWA ASAINI HATI YA KICHAWI YA KIFO CHAKE MWENYEWE :

Kila binadamu ana ye ishi duniani ameletwa na Mungu kwa ajili ya ku timiza mission maalumu. Binadamu huyo hawezi kurudi kwa Mungu bila kutimiza mission hiyo, hivyo ni vigumu sana kwa wachawi kumuua kichawi mtu yoyote Yule bila ya ridhaa yake mwenyewe ama bila ushirikiano wake mwenyewe.

Hivyo basi wachawi hufanya namna au kutengeneza mtego utakao mfanya mlengwa kutia saini kwenye hati ya kifo chake mwenyewe bila kujua kama anajiua mwenyewe.

JINSI INAVYO KUWA

Siku saba kabla ya mtu Fulani kuchukuliwa kichawi. Maneno ya kichawi yatakayo kuwa yameandikwa kwenye sura ya nafsi ya mlengwa huwa kama ifuatavyo :
Kwa mfano kama wewe jina lako unaitwa “ MADEVU” na imekusudiwa uwe haupo duniani ifikapo siku ya alhamisi ya kesho. Maneno yatakayo kuwa yameandikwa kwenye sura ya nafsi yako ni “ MADEVU BIN (JINA LA MAMA AKO ) SIKU YA ALHAMISI YA KESHO TAREHE 04/09/2025 HATOKUWEPO DUNIANI “Ili maneno hayo yakamilike, ni lazima MADEVU mwenyewe akiri kwa kinywa chake kuwa siku hiyo hatokuwepo.

WANAVYO FANYA WACHAWI

Kwa mfano mchawi anajua kuwa , wewe Madevu ambaye una miliki tuseme duka la spea pale Kariakoo, dini yako ni msabato na siku za Jumamosi huwa haufanyi kazi.

Siku moja kabla ya “ kifo” chako, mtu mmoja atakupigia simu na kukwambia kuwa, kesho atakuja dukani kwako kuchukua mzigo hapo, halafu atamalizia kwa kukuuliza “ UTAKUWEPO ?” Kwa vyovyote vile lazima utamjibu “ KESHO SINTAKUWEPO !”. Hapo ndio utakuwa umesaini hati ya kifo chako mwenyewe. Maneno yako yatakwenda kutumika dhidi yako mwenyewe.

Kwa ufupi tu ni kwamba, katika mtego huu, utaulizwa swali “ utakuwepo?” ambalo kwa vyovyote vile majibu yake yatakuwa “ SINTOKUWEPO “

KUJIKINGA NA UCHAWI HUU :

Kujikinga na uchawi huu, epuka sana kutumia neno “ SINTOKUWEPO!” Badala ya kujibu “sintokuwepo” jibu kwa kutaja sehemu utakayo kuwepo.

Kwa mfano,hapo Bwa. Madevu atatakiwa kujibu “ SIKU YA KESHO NITAKUWA KANISANI” AMA ANAWEZA KUSEMA NITAKUWA NYUMBANI
 
Mtu akikutamkia neno lolote baya likatae papohapo kwa kutumia sauti ya kinywa chako kama alivyotumia kinywa.

Unaweza kubadilika kwa mawazo yako lakini mtu wa pembeni anaweza kukubadilisha kwa maneno
 
Asante Bwana Yesu Kristo kwa kuniokoa. Sasa NIMEOKOKA. Huko nilishaga hama na kusahau zaidi ya miaka 20 iliyopita.
 
FAHAMU KUHUSU MITEGO MITATU HATARI YA KICHAWI NA JINSI YA KUIEPUKA.


Wachawi wengi hutumia mbinu mbalimbali katika kufanikisha mipango yao ya kichawi kwa watu walio kusudia kuwadhuru kwa uchawi.

Katika kufanikisha hilo, wachawi hutumia mbinu na mitego mbalimbali ya kichawi. Miongoni mwa mitego hiyo ni ya kawaida kabisa ya kichawi ni pamoja na mchawi kukukaribisha chakula ama kinywaji ambacho kimewekwa uchawi ama kukupitisha katika njia ambayo imewekwa tego la kichawi na kadhalika.

Sitaizungumzia sana mitego ya aina hiyo hapo juu kwa sababu inajulikana na wengi na ni rahisi kubaini kuwa unategwa kichawi.

Leo nitaizungumzia mitego mikuu mitatu ambayo watu wengi hawaifahamu.


UCHAWI WA MTEGO WA SHILINGI

Uchawi wa mtego wa shilingi ni uchawi unao fanya kazi ya kufunga ridhiki ya mtu na kumfilisi kabisa.

JINSI INAVYOKUWA :

Ili mchawi afanikiwe kufunga ridhiki ya muhusika wake kwa kutumia aina hii ya uchawi ni lazima afanikiwe kupata hela yoyote yenye thamani ya chini sana kutoka kwa mhusika wake. Hela hiyo ni lazima isiwe ya karatasi na ni lazima iwe hela yenye thamani ndogo sana.

Huwa inakuwa hivi, mzee mmoja unae muheshimu sana mtaani kwenu ama kijijini kwenu atakufuata na kukuomba umsaidie shilingi hamsini, au shilingi mia au shilingi mia mbili (Miaka ya nyuma walikuwa wanaomba shilingi, thumni, sh.kumi au sh.tano au shilingi ishirini zile za chuma,ambazo kwa sasa hazipo tena kwenye mzunguko wa fedha.)

Mzee huyo atakwambia ana anataka kununua kahawa au ugoro na ana shida na shilingi hamsini tu. Kama sio mzee basi anaweza kutumwa hata mtoto mdogo na kukwambia “ Uncle naomba sh. Hamsini nikanunue pipi n.k.

Ukimpa shilingi hamsini, utakuwa umecheza bonge la
blanda. Shilingi hiyo hamsini itakwenda kufanyiwa uchawi
mbaya sana ambao siwezi kuelezea hapa namna
unavyo fanyika. Matokeo ya uchwai huo ni kwamba ridhiki yako
itafungwa kabisa, utakuwa unashika sh. Hamsini hamsini tu, thamani yako itakuwa sawa sawa na thamani ya shilingi hamsini, na mwisho wa siku utafilisika kabisa na kurudia maisha ya chini kabisa.

JINSI YA KUJIEPUSHA NA UCHAWI HUU :

Njia bora kabisa ya kujikinga na uchawi ni kuuepuka. Hivyo basi kujikinga na uchawi huu, fanya yafuatayo :

1. Mtu akikuomba hela yoyote yenye thamani ya chini kama vile sh. Hamsini, mia, au mia mbili, mkatalie usimpe kabisa.

AU

2. Mpe shilingi elfu kumi. wengine ukiwapa elf kumi wana kataa wanakwambia kachenchi basi we kataa

MTEGO WA NYOKA.

Lengo la mtego huu ni kumchukua mtu msukule ama kumuua kabisa kwa njia ya uchawi. Vile vile mtego huu unatumika kuua vitoto vichanga, kumuua mwanamke mjamzito au kunyofoa mimba ya mwanamke mjamzito na kumfanya asizae.

Mtego huu ni wa hatari sana kwani kuubaini ni vigumu sana na kwa jinsi unavyo tumwa ni vigumu sana kuchomoka , yaani lazima uingie mtegoni.

JINSI INAVYOKUWA :

Mtego huu mara nyingi huwa unakuja katika sura kuu
tatu :

1. Sura Ya Kwanza : Jini aliye vaa sura na umbo la nyoka huingia hadi chumbani
kwako, au hukutokea bafuni au chooni . Kwa vyovyote vile lazima utatafuta njia ya kumuua, ukimuua tu huyo nyoka na wewe ndio unakuwa
mwisho wako hapo, kwa sababu utakuwa unajiua mwenyewe. Baada ya kumuua nyoka huyo utaugua kwa sana na mwisho wa siku utakufa . Nyoka huyo wa kichawi anakuwa ameunganishwa na nafsi yako mwenyewe , hivyo kitendo cha wewe kumpiga nyoka huyo wa kichawi unakuwa unainyonga nafasi yako mwenyewe bila kujijua. NI HATARI SANA!

2. Ndugu yako ama jirani yako ( ambaye lazima atakuwa mwanamke) atakuja nyumbani kwako na kukwambia kuwa kuna nyoka mkubwa ameingia nyumbani/chumbani kwake, sasa ameshindwa kumuua au anaogopa kumuua, na nyumbani kwake kuna watoto tu, hivyo anakuomba ukamsaidie kumuua huyo nyoka. Ukienda kumuua huyo nyoka, umejiua mwenyewe. Utaugua sana na mwisho wa siku utakufa.

3. Ukiwa na mgonjwa ambaye amelazwa nyumbani , atatokea nyoka karibu na kitanda chake na wewe ukiwa kama mwanaume katika familia hiyo, utalazimika kwenda kumuua nyoka huyo ili asimdhuru mgonjwa wako…Ukisha muua tu huyo nyoka, mgonjwa wako hatomaliza siku saba atakufa.

4. Mke wako akiwa anakaribia kujifungua, nyoka huyo atajitokeza katika chumba unacholala wewe na mke wako au katika eneo lolote atakalo kuwapo mke wako. Ukiwa kama mwanaume, kwa vyovyote vile utalazima kumuua nyoka huyo. Ukifanya hivyo, mke wako atakufa wakati wa kujifungua. Au atazaa mtoto aliyekufa na yeye ataugua sana na mwisho wa siku atakufa.

5. Mke wako akiwa amejifungua mtoto au watoto, nyoka huyo ataonekana katika chumba ambacho watoto wenu watakuwa wamelala, eidha peke yao au pamoja na mama yao. Kwa vyovyote vile, utalazimika kwenda kumuua huyo nyoka, ukifanya hivyo, watoto wako wataugua sana na mwisho wa siku watakufa.

UFANYEJE NINI KUEPUKANA NA MTEGO HUU ?

1. Mtu akikuita uende kuua NYOKA usiende.

2. Kwa kuwa ni vigumu sana kujua kama nyoka aliye mbele yako ni halisi au nyoka wa kichawi unapaswa kutumia dawa ya kujikinga na nyoka wa kichawi. Dawa hii yenye nguvu sana haitakukinga tu na nyoka wa kichawi bali pia itakukinga na nyoka wengine wa kawaida. Ukitumia dawa hii, basi kwanza nyoka wa kichwai hawataweza kuingia nyumbani kwako na hata kama ukiwekewa mtego wa kichawi, utamuua nyoka huyo na hutopata madhara yoyote.

MTEGO WA ULIMI :
Uzima na umauti upo ndani ya ulimi wa mwanadamu.

Wachawi wa nchi wanapotaka kumuua mtu kichawi hufanya mambo mbalimbali ya kichawi. Baada ya kufanya ulozi wao ,moja kati ya mambo makubwa wanayo yafanya ni kutengeneza hati ya kichawi ya kifo cha
mlengwa wa uchawi. Hati hiyo ya kichawi itasainiwa na mlengwa mwenyewe kabla ya kutekelezwa bila ya mlengwa mwenyewe kujijua kama ana saini hati ya kifo chake mwenyewe.


KWA NINI NI LAZIMA MLENGWA ASAINI HATI YA KICHAWI YA KIFO CHAKE MWENYEWE :

Kila binadamu ana ye ishi duniani ameletwa na Mungu kwa ajili ya ku timiza mission maalumu. Binadamu huyo hawezi kurudi kwa Mungu bila kutimiza mission hiyo, hivyo ni vigumu sana kwa wachawi kumuua kichawi mtu yoyote Yule bila ya ridhaa yake mwenyewe ama bila ushirikiano wake mwenyewe.

Hivyo basi wachawi hufanya namna au kutengeneza mtego utakao mfanya mlengwa kutia saini kwenye hati ya kifo chake mwenyewe bila kujua kama anajiua mwenyewe.

JINSI INAVYO KUWA

Siku saba kabla ya mtu Fulani kuchukuliwa kichawi. Maneno ya kichawi yatakayo kuwa yameandikwa kwenye sura ya nafsi ya mlengwa huwa kama ifuatavyo :
Kwa mfano kama wewe jina lako unaitwa “ MADEVU” na imekusudiwa uwe haupo duniani ifikapo siku ya alhamisi ya kesho. Maneno yatakayo kuwa yameandikwa kwenye sura ya nafsi yako ni “ MADEVU BIN (JINA LA MAMA AKO ) SIKU YA ALHAMISI YA KESHO TAREHE 04/09/2025 HATOKUWEPO DUNIANI “Ili maneno hayo yakamilike, ni lazima MADEVU mwenyewe akiri kwa kinywa chake kuwa siku hiyo hatokuwepo.

WANAVYO FANYA WACHAWI

Kwa mfano mchawi anajua kuwa , wewe Madevu ambaye una miliki tuseme duka la spea pale Kariakoo, dini yako ni msabato na siku za Jumamosi huwa haufanyi kazi.

Siku moja kabla ya “ kifo” chako, mtu mmoja atakupigia simu na kukwambia kuwa, kesho atakuja dukani kwako kuchukua mzigo hapo, halafu atamalizia kwa kukuuliza “ UTAKUWEPO ?” Kwa vyovyote vile lazima utamjibu “ KESHO SINTAKUWEPO !”. Hapo ndio utakuwa umesaini hati ya kifo chako mwenyewe. Maneno yako yatakwenda kutumika dhidi yako mwenyewe.

Kwa ufupi tu ni kwamba, katika mtego huu, utaulizwa swali “ utakuwepo?” ambalo kwa vyovyote vile majibu yake yatakuwa “ SINTOKUWEPO “

KUJIKINGA NA UCHAWI HUU :

Kujikinga na uchawi huu, epuka sana kutumia neno “ SINTOKUWEPO!” Badala ya kujibu “sintokuwepo” jibu kwa kutaja sehemu utakayo kuwepo.

Kwa mfano,hapo Bwa. Madevu atatakiwa kujibu “ SIKU YA KESHO NITAKUWA KANISANI” AMA ANAWEZA KUSEMA NITAKUWA NYUMBANI
Haya uliyoyaandika nadhani ni kwa wale tu walio wafu kiroho (neno la Mungu haliko ndani yao). Ila kwa wale watakatifu wake, wao hawana cha kuhofia hapo maana wana mamlaka na uwezo wa kufanya makubwa sana juu ya ufalme wa giza; tena Bwana Yesu mwenyewe anasema wana uwezo wa kufanya makubwa hata zaidi ya yale aliyoyafanya alipokuwa akiishi nasi kimwili hapa duniani (Yohana 14:12).

Nimekuwekea maandiko hapo chini yanayowafanya hata hao wachawi wawatazame watakatifu kuwa watu hatari sana katika kutekeleza mission zao.

Mathayo 28:18
[18]Yesu akaja kwao, akasema nao, akawaambia, Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani.
And Jesus came and spake unto them, saying, All power is given unto me in heaven and in earth.

Yohana 17:22-23
[22]Nami utukufu ule ulionipa nimewapa wao; ili wawe na umoja kama sisi tulivyo umoja.
And the glory which thou gavest me I have given them; that they may be one, even as we are one:
[23]Mimi ndani yao, nawe ndani yangu, ili wawe wamekamilika katika umoja; ili ulimwengu ujue ya kuwa ndiwe uliyenituma, ukawapenda wao kama ulivyonipenda mimi.
I in them, and thou in me, that they may be made perfect in one; and that the world may know that thou hast sent me, and hast loved them, as thou hast loved me.

Luka 10:19
[19]Tazama, nimewapa nguvu ya kukanyaga nyoka na nge, na nguvu zote za yule adui, wala hakuna kitu kitakachowadhuru.
Behold, I give unto you power to tread on serpents and scorpions, and over all the power of the enemy: and nothing shall by any means hurt you.

Marko 16:17-18
[17]Na ishara hizi zitafuatana na hao waaminio; kwa jina langu watatoa pepo; watasema kwa lugha mpya;
And these signs shall follow them that believe; In my name shall they cast out devils; they shall speak with new tongues;
[18]watashika nyoka; hata wakinywa kitu cha kufisha, hakitawadhuru kabisa; wataweka mikono yao juu ya wagonjwa, nao watapata afya.
They shall take up serpents; and if they drink any deadly thing, it shall not hurt them; they shall lay hands on the sick, and they shall recover.

Nahitimisha kwa andiko hili
Hesabu 23:19
[19]Mungu si mtu, aseme uongo;
Wala si mwanadamu, ajute;
Iwapo amesema, hatalitenda?
Iwapo amenena, hatalifikiliza?
God is not a man, that he should lie; neither the son of man, that he should repent: hath he said, and shall he not do it? or hath he spoken, and shall he not make it good?

Nakukaribusha ujiunge na watakatifu, ili usitumie nguvu kubwa namna hiyo kukabiliana na vitu vidogo vidogo kama hivi ulivyoviandika kwenye huu uzi wako.

SHALOM!
 
Haya uliyoyaandika nadhani ni kwa wale tu walio wafu kiroho (neno la Mungu haliko ndani yao). Ila kwa wale watakatifu wake, wao hawana cha kuhofia hapo maana wana mamlaka na uwezo wa kufanya makubwa sana juu ya ufalme wa giza; tena Bwana Yesu mwenyewe anasema wana uwezo wa kufanya makubwa hata zaidi ya yale aliyoyafanya alipokuwa akiishi nasi kimwili hapa duniani (Yohana 14:12).

Nimekuwekea maandiko hapo chini yanayowafanya hata hao wachawi wawatazame watakatifu kuwa watu hatari sana katika kutekeleza mission zao.

Mathayo 28:18
[18]Yesu akaja kwao, akasema nao, akawaambia, Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani.
And Jesus came and spake unto them, saying, All power is given unto me in heaven and in earth.

Yohana 17:22-23
[22]Nami utukufu ule ulionipa nimewapa wao; ili wawe na umoja kama sisi tulivyo umoja.
And the glory which thou gavest me I have given them; that they may be one, even as we are one:
[23]Mimi ndani yao, nawe ndani yangu, ili wawe wamekamilika katika umoja; ili ulimwengu ujue ya kuwa ndiwe uliyenituma, ukawapenda wao kama ulivyonipenda mimi.
I in them, and thou in me, that they may be made perfect in one; and that the world may know that thou hast sent me, and hast loved them, as thou hast loved me.

Luka 10:19
[19]Tazama, nimewapa nguvu ya kukanyaga nyoka na nge, na nguvu zote za yule adui, wala hakuna kitu kitakachowadhuru.
Behold, I give unto you power to tread on serpents and scorpions, and over all the power of the enemy: and nothing shall by any means hurt you.

Marko 16:17-18
[17]Na ishara hizi zitafuatana na hao waaminio; kwa jina langu watatoa pepo; watasema kwa lugha mpya;
And these signs shall follow them that believe; In my name shall they cast out devils; they shall speak with new tongues;
[18]watashika nyoka; hata wakinywa kitu cha kufisha, hakitawadhuru kabisa; wataweka mikono yao juu ya wagonjwa, nao watapata afya.
They shall take up serpents; and if they drink any deadly thing, it shall not hurt them; they shall lay hands on the sick, and they shall recover.

Nahitimisha kwa andiko hili
Hesabu 23:19
[19]Mungu si mtu, aseme uongo;
Wala si mwanadamu, ajute;
Iwapo amesema, hatalitenda?
Iwapo amenena, hatalifikiliza?
God is not a man, that he should lie; neither the son of man, that he should repent: hath he said, and shall he not do it? or hath he spoken, and shall he not make it good?

Nakukaribusha ujiunge na watakatifu, ili usitumie nguvu kubwa namna hiyo kukabiliana na vitu vidogo vidogo kama hivi ulivyoviandika kwenye huu uzi wako.

SHALOM!
Shalom
 
Ukiona mtu ana Imani za kishirikina sana kaa naye mbali sana, Kuna jamaa ndugu zake walikuwa Wana kufa sana mtu Moja akaenda akawaambia wale ndugu kuwa huyo jamaa ndugu yao anae ISHI afrika kisini ndo ana waua ili apate utajiri hivo nao wamuwahi kumuuaa lasivo atawamaliza wote, wakaenda kumuua huyo jamaa wa afrika kisini kichawi, nilichojifunza ukiona ukoo wako una Imani za kishirikina, marafiki zako wanaimani za kishirikina mkuu achana nao kimbia mbali kaanze familia huko lasivyo kaa tayari kwa lolote bibi kumroga mjukku wake shangaji kumroga mtoto wa kaka yake kawaida kabisa..
 
Back
Top Bottom