Fahamu hili 'NANI ZAIDI' ndani ya CHADEMA.

Fahamu hili 'NANI ZAIDI' ndani ya CHADEMA.

USILALE

Member
Joined
Dec 17, 2013
Posts
18
Reaction score
0
Kiukweli, hakuna mgogoro wala makundi ndani ya CHADEMA. Ila kinachoendelea ndani ya Chadema ni kile ninachokiita 'NANI ZAIDI' kuelekea uchaguzi ndani ya Chama. Huu mkakati, 'nani zaidi' unampa nafasi mwana Chadema kuweza kutambua nani anafaa katika ngazi fulani.
 
Back
Top Bottom