Diesel generator
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 706
- 660
Nyie hamjiangalii mnataka wengine waangie kwa niaba yenu!!Huo ujumbe wa kichina umfikie ze kokuyo popote alipo,trump amuangalie sana huyu vijicho.
mimi naangalia maisha yangu na familia yangu hayo mengine hayanihusu,hapa mwenzako kama kwenye kijiwe cha draft sio sirias kivile.Nyie hamjiangalii mnataka wengine waangie kwa niaba yenu!!
Furahieni kujengewa viwanda!
Iko siku utajua yanavyokuhusu!mimi naangalia maisha yangu na familia yangu hayo mengine hayanihusu,hapa mwenzako kama kwenye kijiwe cha draft sio sirias kivile.
Mwisho was kila mwanaadamu ni kifo,hata hao wazungu si watu pia.Najivunia mizimu ya mababu nikisubiri Siku za kuishi zifike.MTU mweupe yeyote ni shetani kwa MTU mweusi.Iko siku utajua yanavyokuhusu!
Siku meli ya wachina itakapowaleta wachina kuijaza nchi yako.