RaiaMbishi
JF-Expert Member
- Jan 18, 2012
- 252
- 125
- Thread starter
- #21
Zinaweza zikasurvive up to 72hrs.
Sayansi hii ina kila aina ya exceptions. Miaka ya nyuma sana kulitokea news fulani nchi marekani kwamba kuna m-dada alipata ujauzito kutokana na sperms zilizokuwa kwenye bath-tub akiwa anaoga. bath tub hii ilitumiwa na mtu mwingine nyakati za nyuma na haikuwa imeoshwa vizuri. Duniani kuna vijambo jamani.