Facebuk hakuna adabu kule,utakuta katoto ka form 6 au chuo,anamuadd mdada wa ofisini.hata hamjui,na ukute huyo mdada hajaweka inf.zake,halafu amuone ni kababy gal.yan ana baby face.kakijana kanatongoza tu.
Na huyo manager wa benki.kweli wanavyobanwa vile huo muda wa kuwa online muda mrefu anatoa wapi?.
Lastly,Facebuk haina umri,ni mtu 2 kujiheshimu.
HIvi unajua kila kitu unacho kipost facebook kinakua mali yao?
Mfano: ukipost picha nzuri na wamiliki wakaitaka kibyashara
wanaruhusiwa kuitumia kwa njia yoyote wanayo itaka bila ruhusa yako
Actually mkienda mahakamani wanaweza kukuomba wewe ulipe
ikiwa utatumia picha yako ya fb kufanyia biashara sehem nyingine