F-47: Trump Ametoa Kandarasi

F-47: Trump Ametoa Kandarasi

Wakati huu sisi tukihangaika kugawa majimbo na wakongwe kurudi vyamani...
 
Kiburi cha mali kimeanza. Usiku huu ikimpendeza BWANA Mungu wa Majeshi aweza kumwambia mpunbavu wewe naitaka roho yako usiku huu! Mali bila hofu ya Mungu ni ubatili; akajifunze kwa Suleiman.
Akili za maskini bhana 😂

Mkuu, kwa hiyo roho yako utabaki kuwa maskini maisha yako yote.
 
F 47 ndio hio haionekani sasa jiandae sasa kama kawaida yako kuja na news zimeua wanawake na watoto oh mara marekani hawataki amani oh mara marekani hawawapendi waarabu
Hakuna ndege isiyoonekana kwenye radar,hiyo ilikua kabla urusi hawajapeleka mtu angani, uingereza hawakuona kwenye radar yao,baada ya hapo kila kipitacho angani kinaonekana kwenye radar
 
Hii ndege itakuwa ya kwaida sana ila itapewa promo balaa na vyombo vyao kama fox
Ndo zao hizo. J.J. Okocha alikuwa bingwa katika ku-dribble, lakini kwa vile hakuwa mwenzao hakupata kutangazwa sana. Chungulia YouTube uone alivyowanyanyasa kipindi kile.
 
F-47 zipo kwenye hatua za mwisho kukamilika, mwenyewe trump amezisifia Sanaaa Kwa uwezo wake wa kutoonekana kwenye rada za Aina zote duniani hii itakuwa fighter jet ya Kwanza kuweza kwenda sehemu yeyote duniani bila kuongeza mafuta
Kwamba hazihitaji refueling? Ni nuclear powered au zinatumia Gesi ya mama kizimkazi?!
 
Back
Top Bottom