F-47: Trump Ametoa Kandarasi

F-47: Trump Ametoa Kandarasi

Juuchini

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2018
Posts
1,923
Reaction score
2,752
Trump ametoa kandarasi kqa kampuni ya boeng kutengeneza ndege za kizazi cha sita ambacho kitajulikana kama F-47
 
F-47 zipo kwenye hatua za mwisho kukamilika, mwenyewe trump amezisifia Sanaaa Kwa uwezo wake wa kutoonekana kwenye rada za Aina zote duniani hii itakuwa fighter jet ya Kwanza kuweza kwenda sehemu yeyote duniani bila kuongeza mafuta
Why 47? Trump is the 47th POTUS.
 
1742835445405.png
 
F-47 zipo kwenye hatua za mwisho kukamilika, mwenyewe trump amezisifia Sanaaa Kwa uwezo wake wa kutoonekana kwenye rada za Aina zote duniani hii itakuwa fighter jet ya Kwanza kuweza kwenda sehemu yeyote duniani bila kuongeza mafuta
Bad news.

Huyu ni mdogo wake anaonekana huyo kaka hatokuwa na jipya labda kama zinatengenezwa mahususi kushambulia wa Houthis, Hezbollah,Hamas lakini sio China,Russia,Iran......
 
Back
Top Bottom