Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 34,961
- 80,193
Wazee wa Soka huyu Mwiraq Ezekiel Malongo mnamkumbuka? Alikuwa RTD miaka ya 2000.
Kiukweli alituvutia vijana wengi tukaupenda mpira. Alikuwa akiitangaza mechi ya Simba na yanga nilikuwa hata sitaki niangalie mechi kwa TV.
Akianza kukuchanganyia majina Joseph Kaniki Golota fagio la chuma.. I miss those days.
Yupo wapi huyu Legend. Alifanya nikarecord Kanda nzima ya TOT ya kifo cha Nyerere sauti ya kumwigilizia. Nilipokuwa nakua nilijua nisipotangaza mpira kama Malongo basi nitaimba kama Komba.
Huyu fundi yupo wapi?
Kiukweli alituvutia vijana wengi tukaupenda mpira. Alikuwa akiitangaza mechi ya Simba na yanga nilikuwa hata sitaki niangalie mechi kwa TV.
Akianza kukuchanganyia majina Joseph Kaniki Golota fagio la chuma.. I miss those days.
Yupo wapi huyu Legend. Alifanya nikarecord Kanda nzima ya TOT ya kifo cha Nyerere sauti ya kumwigilizia. Nilipokuwa nakua nilijua nisipotangaza mpira kama Malongo basi nitaimba kama Komba.
Huyu fundi yupo wapi?