Ezekiel Malongo alisababisha niharibu Kanda ya TOT

Ezekiel Malongo alisababisha niharibu Kanda ya TOT

Daby

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2014
Posts
34,961
Reaction score
80,193
Wazee wa Soka huyu Mwiraq Ezekiel Malongo mnamkumbuka? Alikuwa RTD miaka ya 2000.

Kiukweli alituvutia vijana wengi tukaupenda mpira. Alikuwa akiitangaza mechi ya Simba na yanga nilikuwa hata sitaki niangalie mechi kwa TV.

Akianza kukuchanganyia majina Joseph Kaniki Golota fagio la chuma.. I miss those days.

Yupo wapi huyu Legend. Alifanya nikarecord Kanda nzima ya TOT ya kifo cha Nyerere sauti ya kumwigilizia. Nilipokuwa nakua nilijua nisipotangaza mpira kama Malongo basi nitaimba kama Komba.

Huyu fundi yupo wapi?
 
Ila pia Majina ya wachezaji yalikuwa yanavutia saana.

Joseph Kaniki
Ali Mayai Tembele
Jembe Ulaya
Juma Kaseja
Kisha wakaja Kina Boniface Pawasa....
 
Ezekiel Malongo beki wa kupanda na kushuka alikuwa muongo sana, worldcup ya mwaka 2002 alitudanganya sana
Hahaha.
Juma Nkamia alishalisemea hili.

Ila alikuwa fundi saana.
 
Kuna ile fainali ya Simba vs Stella Abdjan Kombe la CAF mwaka 1993 Watangazaji wa RTD walinikosha sana. Maandalizi na shamra shamra vilikuwa vya moto sana kuliko hata hiyo Jumapili ya Simba vs Berkane huko Zanzibar.

1.Golini yupo Tanzania One Mohammed Mwameja (Captain)
2.Kasongo Athumani Mhaya
3.Deo Mkuki

Oya hao niliowataja walikuwa balaaa haswaaa. Pale Simba, mbavu za kulia na kushoto, wamepita akina Ramadhani Wasso, Juma Jabu, Nassoro Masoud Chollo, nk. ila hao niliowataja mwanzo walikuwa balaaa haswaaa.

Apumzike salama Ezekiel Malongo.
 
Kuna ile fainali ya Simba vs Stella Abdjan Kombe la CAF mwaka 1993 Watangazaji wa RTD walinikosha sana. Maandalizi na shamra shamra vilikuwa vya moto sana kuliko hata hiyo Jumapili ya Simba vs Berkane huko Zanzibar.

1.Golini yupo Tanzania One Mohammed Mwameja (Captain)
2.Kasongo Athumani Mhaya
3.Deo Mkuki

Oya hao niliowataja walikuwa balaaa haswaaa. Pale Simba, mbavu za kulia na kushoto, wamepita akina Ramadhani Wasso, Juma Jabu, Nassoro Masoud Chollo, nk. ila hao niliowataja mwanzo walikuwa balaaa haswaaa.

Apumzike salama Ezekiel Malongo.
Nimemfaidi tu Mwameja tu mkuu.

Hivi tulishawqhi kupata Golikipa kama huyu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom