Yule bwana Maige ambaye alifikiri amezaliwa kuwa Waziri, leo ameuliza swali Bungeni kama Mbunge wa kawaida, kweli maisha hayana formula, poor of you Maige
Ataunga hoja kama ilivyo kawaida ya wabunge..ndo wawe wanajua cheo ni dhamana..sasa na yeye aanze kuona adha ya jinsi wanavyowadanganyaga wabunge kama watoto..halafu sijui atakua anaunga hoja mkono!!