Extra-port charges (imported car)

Extra-port charges (imported car)

Asante sana mkuu elimu hii watu hawana
Ukicheki huu uzi mwanzo nlipewa vitisho mara niandae 1.6m wengine walisema bila 2m pembeni gari haitoki

Lakini mwisho haikufika hata laki 6

Wamejazana story za vijiweni

Tuendelee kuelimishana
Tuendelee kuagiza magari wenyewe
Mimi napendaga niende Front kama kumpa hela nitampa mtu kama bonus kanifanyia kazi nzuri na sio mbahiri hiyo sehemu,ila sio ile unajua hapa nimepigwa na uzuri pia unajifunza vingi sana au labda sijui bado sina hela😀😀.​
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom