Mzee wa Wima
JF-Expert Member
- Mar 20, 2016
- 537
- 296
Agiza kikuuHabari wadau, Natumai jumapili imeisha salama, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, naomba kwa yeyeyote ambayo anauza au anafahamu naweza kupata wapi Case kwa hd hii anaweza nijuza, mana nimejitahidi kutafuta maeneo ya kkoo bila mafanikio, aliyekuwa nayo na tayari anataka kufanya biashara anitumie PM. Nawasilisha.
Nashukuru sana kwa Ushauri wako Mkuu nitafanya hivyo.Ina maana kwa Mtumba siwezi pata?Mkuu changamoto kwenye hard disk za desktop (3.5 inch) ni kwamba zinatumia umeme mwingi, hivyo hutaweza kuiweka kwenye case ya kawaida utahitaji case yenye external power supply.
Changamoto nyengine ni kwamba hio adapter huwenda ikawa ghali kushinda hard disk yako,
Capricon wana docking inagharimu 112k
https://computer.co.tz/ct/product/harddrive-docking-station-2-5-3-5-usb-3-0-esata-to-sata-hard-drive
Pia unaweza ukaenda KVD mjini wanakuwa na hizi accessory na bei zao zinakuwa nafuu pia.
Jaribu machinga complex kwa usedNashukuru sana kwa Ushauri wako Mkuu nitafanya hivyo.Ina maana kwa Mtumba siwezi pata?
Shukrani SanaJaribu machinga complex kwa used
Uoande ambao madirisha yake yanaangalia uwanja wa karume
Ashukuru Sana, ishu ilikuwa ni Data zangu muhimu, nimepata Kuna mdau hapa JF kanipatia,nimefanikiea ila ntakucheck kwa hii external ya gb 160.Mkuu shida ni data zilizomo humo kuzipata au shida ni kutumia EXTNAL tu
nakupa option 2
ya kwanza njoo nikuuzie CASE hiyo kwa elf 45 lkn inatumia adptore yaan lazima uipe umeme wa peke yake
ya piri njoo nikuuzie EXTNAL ya gb 160 kwa tshs elf 30 inatumia USB power sabubu ni ya HDD ndogo ya laptop kisha km zipo data zako humo kwenye hiyo harddisk yako nitakuhanishia zote humo kwenye hiyo extnal nitakayokuuzia
0777039477
Pamoja mkuu mana niliwaza pengine hiyo HDD ilikufa kwenye PC ya iMAC na kuna data zako ndo manaMkuu n
Ashukuru Sana, ishu ilikuwa ni Data zangu muhimu, nimepata Kuna mdau hapa JF kanipatia,nimefanikiea ila ntakucheck kwa hii external ya gb 160.