Mie sielewi kabisa kitu kabisa ,mie naona hao jamaa wamevaa vizuri tena very smart wamechomea hadi jeans zao na wamependeza kweli kweli.
Sijui walitakiwa wavae nini?
Hivi siku nyingine Raisi anavaaga jaeans alafu anaenda sijui shamba au sijui kuzindua nini sijui......si anatokea Ikulu,sasa ulitaka hao nao wavaaje.....?
Hata Obama anapiga Jeans kama kawaida muda mwingine.kama ingekua vingivyo WABOLONGAJI wa IKULU wange-issue dress code kwa ajiri ya mchakato mzima