Brooklyn
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 1,459
- 284
Wadau katika pitapita yangu mtandaoni nimekutana na picha kadhaa za 'waimbaji' (sidhani kama ni wanamuziki) wa kibongo wakiwa wamepiga picha na Mh. Rais Ikulu Jijini DSM hivi karibuni.
Nashangazwa na mavazi (hasa suruali) walizovaa waimbaji hawa, naamini hayakushahili kuvaliwa mahali kama Ikulu. Nakumbuka katika baadhi ya ofisi za serikalini kuna mwongozo wa mavazi hata kwa wageni wanaoingia sehemu hizo. Licha ya hivyo hata hawa waimbaji si walijua wanaenda kukutana na Mh. Rais Ikulu, kwa nini wasivae 'formal zaidi'? Najua hizo Tshirt za 'zinduka' walivalia palepale Ikulu.
Nimekuwa nikiona wasanii wenzetu wa nje wakialikwa Ikulu za kwao wanainda wakiwa wamevalia 'decent' zaidi.
Hapa kwetu inakuaje??? Ama ni sawa hata ukiingia na 'pensi nyanya'?
Jana Jumatano tulikuwa Ikulu na Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Kikwete kwaajili ya kupiga picha kwaajili ya campaign maalum za kutokomeza Malaria Tanzania
Source: http://www.ladyjaydee.blogspot.com/
Nashangazwa na mavazi (hasa suruali) walizovaa waimbaji hawa, naamini hayakushahili kuvaliwa mahali kama Ikulu. Nakumbuka katika baadhi ya ofisi za serikalini kuna mwongozo wa mavazi hata kwa wageni wanaoingia sehemu hizo. Licha ya hivyo hata hawa waimbaji si walijua wanaenda kukutana na Mh. Rais Ikulu, kwa nini wasivae 'formal zaidi'? Najua hizo Tshirt za 'zinduka' walivalia palepale Ikulu.
Nimekuwa nikiona wasanii wenzetu wa nje wakialikwa Ikulu za kwao wanainda wakiwa wamevalia 'decent' zaidi.
Hapa kwetu inakuaje??? Ama ni sawa hata ukiingia na 'pensi nyanya'?
Jana Jumatano tulikuwa Ikulu na Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Kikwete kwaajili ya kupiga picha kwaajili ya campaign maalum za kutokomeza Malaria Tanzania
Source: http://www.ladyjaydee.blogspot.com/