The value of goods and services rose by 5.2 percent to over $9 205.2 million by Sept this year according to the BOT monthly bulletin. Gold accounted for 48.6% …. ……. more below follow the link.
Hiyo 5.2 % imeongezeka kutoka kwenye asilimia ngapi- na nikutoka kipindi kipi?.
By the way issue kubwa kwa Tanzania ni matumizi ya tunachokipata kama taifa,hata kingekuwa imeongezeka kwa asilimia 90 kama kinachopatikana kinaishia chato na kwwnye ambitious projects za magufuli ni sawa na bure.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.