Cybergates
JF-Expert Member
- Dec 2, 2016
- 711
- 1,508
Hellow bosess, Baada ya kupata mda kidogo nimeona sio mbaya ku share matumizi mbalimbali ya computer languages na namna nani unaweza kuzutumia kuna tons za computer language mm nita share zile ninazotumia au nilizo kua natumia na kile nacho kijua kuhusu language husika
mwisho nita toa overview ipi language nzuri kwa anaetaka kujifunza programming kama anaetaka kijiajiri na anayetaka kuajiriwa kwenye fild ya Computer Enginers. na pia ipi njia rahisi ya kujifunza programming
===================================================
PHP
PHP hii ni server side scripting language inatumika kulink “user interface” kwenye webpage na server. Server in mahali ambapo data zako za kwenye website zimeifadhiwa. Ni moja kati ya server side “access database data” na kuzileta kwenye website kwe website mojakwa moja.
Ni moja ya language inayopendwa na website developers wengi duniani kwani ni rahisi na pia ina uwezo mkubwa wa interact na website yako
EXTENSION
PHP in inatumia extension tofauti tofauti kwenye files zake
"index.php", ---- “recommended”
"index.phtml".
DATABASE
Database “Itaelezea mwisho” PHP ina support Database zifuatazo
1.MySQL - Tumia XAMP --- “recommended”
2. PostgreSQL – nitofauti sana na XAMP kama unaanza tumia Hiyo ya kwanza.
IDE/TEXT EDITOR
Text editor au IDE ni sehemu au mfumo unaoweza kuandika code zako(Nitaeleza tofauti mwisho). Kwa PHP IDE na Text Editor unaweza changua moja kati ya izi
Kama hapo hawali matumizi hahii language ni hasa kwenye web development lakini inauwezo wa kufanya yafuatayo
1. inatumikaku tegeneza dynamic website “full website”
2. Inaonganisha website na web server
3. inatumika sana kama back-end language (kuonganisha database)
4.Pia inatumika ku Encrypt Data
DEMAND
Sijajua kwe mbeleni lakini kwa Africa PHP ni chaguo namba moja kwe wed developer wengi hapa africa tofauti na mataifa ya ulaya. Kama unampango wa kuajiriwa kama web developer kwa africe PHP inakufaa sana,
Mimi mwenye PHP nimeitumia kutengeneza website yangu moja tu, a mean moja nimesha achan nayo
HARD or ESER
PHP ni moja la language rahisi sana kwa mtu wa kawaida, unaweza kijifunza kwa mda mfupi na ukaweza kuwaka online website yako
FRAMEWORK
Framework ni kama body ya gari . Kwenye PHP framework itatoa structure ya nmna unavyo weza kutageneza wedsite yako, zipo nyingi
1. Laravel – hii ni moja ya framework maarufu kwa ajili ya php. Kama una mpango wa kutumia PHP kwenye web project/website yako tumia hii framework
HELLO WORD CODE
=====
RUBY
Ruby nyumbani kwangu kabisa baada ya kuachana na PHP natumia ruby kwenye website zungi karibia zote nazo code, Ruby ni nini hii nayo ni back end language kama ilivyo PHP inatumika
kuonganisha Front end code na back side/ server side. Ku-Simplify unaweza kusema ruby inaonganisha server na web App ina saidia ku acess data kupitia database na server.
EXTENSION
Ruby inatumia Extension tofauti kulingana na matumizi ya file husika common ni
1. index.rb
2. index.html.erb
DATABASE
Ruby ina support database zifuatazo kwenye framework yake ya Ruby on Rails
1. MySQL
2. PostgreSQL
3. SQLite
IDE/TEXT EDITOR
1. Ruby mine
2. komodo
3.subline text
4.atom
USES
1.ruby ni common kwa backend web development
DEMAND
Ruby haina demand sana kwenye market ya kaafrica Africa, lkn ni moja la language inayotimika sana ku maintain web applications. Kwa software engineer wengi tunaojua language tofauti hii ni rahisi kwetu kuitumia. Kama ww beginner usitumie ruby kwa mara ya kwanza ku develop website yako . pamoja na hayo pia host wa ruby sio rahisi kupatikana na piani ghali kidogo ku host website ya ruby
HARD or ESER
ruby sio rahisi ki ivyo kama huna background ya c au java programming
FRAMEWORK
hapa kwenye framework mimi natumia ruby on rails kama web framework ku maintain website
HELLO WORD CODE
NEXT
>> JAVA / JAVASCRIPT /C / C++ / C# / PYTHON / SWIFT <<
mwisho nita toa overview ipi language nzuri kwa anaetaka kujifunza programming kama anaetaka kijiajiri na anayetaka kuajiriwa kwenye fild ya Computer Enginers. na pia ipi njia rahisi ya kujifunza programming
===================================================
PHP
PHP hii ni server side scripting language inatumika kulink “user interface” kwenye webpage na server. Server in mahali ambapo data zako za kwenye website zimeifadhiwa. Ni moja kati ya server side “access database data” na kuzileta kwenye website kwe website mojakwa moja.
Ni moja ya language inayopendwa na website developers wengi duniani kwani ni rahisi na pia ina uwezo mkubwa wa interact na website yako
EXTENSION
PHP in inatumia extension tofauti tofauti kwenye files zake
"index.php", ---- “recommended”
"index.phtml".
DATABASE
Database “Itaelezea mwisho” PHP ina support Database zifuatazo
1.MySQL - Tumia XAMP --- “recommended”
2. PostgreSQL – nitofauti sana na XAMP kama unaanza tumia Hiyo ya kwanza.
IDE/TEXT EDITOR
Text editor au IDE ni sehemu au mfumo unaoweza kuandika code zako(Nitaeleza tofauti mwisho). Kwa PHP IDE na Text Editor unaweza changua moja kati ya izi
- PHPStorm - Hii ni IDE ni ya kulipia ipo vizuri sana ($199/y)
- Sublime Text – Hii ni text editor kama huna hela ya kulipia PHPstorm tumia hii
- Atom – Ipo vizuri sana kwenye PHP free -- “recommended”
Kama hapo hawali matumizi hahii language ni hasa kwenye web development lakini inauwezo wa kufanya yafuatayo
1. inatumikaku tegeneza dynamic website “full website”
2. Inaonganisha website na web server
3. inatumika sana kama back-end language (kuonganisha database)
4.Pia inatumika ku Encrypt Data
DEMAND
Sijajua kwe mbeleni lakini kwa Africa PHP ni chaguo namba moja kwe wed developer wengi hapa africa tofauti na mataifa ya ulaya. Kama unampango wa kuajiriwa kama web developer kwa africe PHP inakufaa sana,
Mimi mwenye PHP nimeitumia kutengeneza website yangu moja tu, a mean moja nimesha achan nayo
HARD or ESER
PHP ni moja la language rahisi sana kwa mtu wa kawaida, unaweza kijifunza kwa mda mfupi na ukaweza kuwaka online website yako
FRAMEWORK
Framework ni kama body ya gari . Kwenye PHP framework itatoa structure ya nmna unavyo weza kutageneza wedsite yako, zipo nyingi
1. Laravel – hii ni moja ya framework maarufu kwa ajili ya php. Kama una mpango wa kutumia PHP kwenye web project/website yako tumia hii framework
HELLO WORD CODE
PHP:
<?php
echo”Hello Cybergates, Wellcome To The World”;
?>
RUBY
Ruby nyumbani kwangu kabisa baada ya kuachana na PHP natumia ruby kwenye website zungi karibia zote nazo code, Ruby ni nini hii nayo ni back end language kama ilivyo PHP inatumika
kuonganisha Front end code na back side/ server side. Ku-Simplify unaweza kusema ruby inaonganisha server na web App ina saidia ku acess data kupitia database na server.
EXTENSION
Ruby inatumia Extension tofauti kulingana na matumizi ya file husika common ni
1. index.rb
2. index.html.erb
DATABASE
Ruby ina support database zifuatazo kwenye framework yake ya Ruby on Rails
1. MySQL
2. PostgreSQL
3. SQLite
IDE/TEXT EDITOR
1. Ruby mine
2. komodo
3.subline text
4.atom
USES
1.ruby ni common kwa backend web development
DEMAND
Ruby haina demand sana kwenye market ya kaafrica Africa, lkn ni moja la language inayotimika sana ku maintain web applications. Kwa software engineer wengi tunaojua language tofauti hii ni rahisi kwetu kuitumia. Kama ww beginner usitumie ruby kwa mara ya kwanza ku develop website yako . pamoja na hayo pia host wa ruby sio rahisi kupatikana na piani ghali kidogo ku host website ya ruby
HARD or ESER
ruby sio rahisi ki ivyo kama huna background ya c au java programming
FRAMEWORK
hapa kwenye framework mimi natumia ruby on rails kama web framework ku maintain website
HELLO WORD CODE
Ruby:
puts ‘Hello Cybergates, Wellcome To The World’
NEXT
>> JAVA / JAVASCRIPT /C / C++ / C# / PYTHON / SWIFT <<