Experience: Wanawake WASIO na uvungu mguuni

Experience: Wanawake WASIO na uvungu mguuni

Ha ha ha...ndo maana nmeomba wazoefu watoe experience, WA kwangu ni pasua kichwa
Huyu mwanamke mkuu DeepPond uko nae siku nyingi sana, binafsi naamini kuna muda hizi purukushani nazo ndio zinakufanya ufurahie penzi lake. Najua hili utasema ukweli, maana kwa simulizi zako mbali mbali, huwa mnavurugana lakini siku zote mnaishia pazuri na wewe mwenyewe unasema. Siku shauri umwache endelea nae.
 
Huyu mwanamke mkuu DeepPond uko nae siku nyingi sana, binafsi naamini kuna muda hizi purukushani nazo ndio zinakufanya ufurahie penzi lake. Najua hili utasema ukweli, maana kwa simulizi zako mbali mbali, huwa mnavurugana lakini siku zote mnaishia pazuri na wewe mwenyewe unasema. Siku shauri umwache endeleea nae.
Huyu uwa tunaachana,tukimissiana, tunarudiana Kwa sex, hatukumbuki Hata kujadili kilichotusababisha tugombane😀
 
We ndo bure kabisa, kwahiyo uvungu unaruhusu hewa kuingia kwenye kiatu🤣
Hoja hapo ni Mishipa ya damu iiyopo chini ya mguu, kwa watu wasio na uvungu hii mishipa inakandaizwa na sakafu/soli hivyo ni rahisi kua damaged kitu kitakachoathiri mzunguko wa damu kuanzia miguuni kupanda juu mapka kwa ubongo ikiwa atasimama au kukimbia kwa muda mrefu.
ebu nioneshe nilipo andika uvungu unaruhusu hewa kupita! NIONESHE
 
Back
Top Bottom