Experience kwa anaetaka kusitisha mwaka wa masomo chuo kikuu 2016/17

Si kuna nafasi ya kubadilisha huko chuoni?
Hao walio kwambia wana ajira?
halafu walikwambia waliosoma course tofauti na hiyo wote wame ajiriwa?
Walikuhakikishia ajira utakapo soma course nyingine?
usikurupuke kwanza kufanya maamuzi kabla ya kujipa muda.
 
Ushauri mzur ndg ila mbn umepanic katka kutoa ushauri ???
Mekuelewa ndg ubarikiwe
 
Mkuu
Pole kwanza,

Ushaur kama unaipenda kozi , usisikilize watu ..nenda, kuhusu gharama, udom ndo chuo chenye gharama kidogo ukilinganisha na vyuo vyengine, hostel n.k fikiria sana
 
Mkuu nenda chuoni waeleze tatizo lako alafu andika barua ya kuomba kuhairisha mwaka wa masomo alafu hakikisha wanakupa barua ya kukubalia ombi lako.....baada ya hapo utakuwa umemaliza tatizo lako
 
Nyie ccm mnaua ndoto za vijana bila huruma, mlipiga kelele mikopo sio tatizo sasa mmenywea

 
..kasome Mkuu,nenda kaeleze tatizo lako upande wa ada kama watakushauri cha kufanya alaf suala la kazi mwachie Raisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…