donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,257
- 22,138
Koment za kishoga,watakuja subiri,loading,napita,ha hah hah vijana acheni mambo ya ajabu kama una jipya kaa pembeni,wenye uelewa na mada watoe ufafanuzi
Napita
dah! tumewasoma sana mabro!
naomba kuuliza hakuna uwezekano mkachaguana first year peke yenu kisha mkapangiwa room moja na course tofauti....!!!?
Kwani hapa duniani una uwezo wa kuchagua watu wa kufanya nao kazi?! au watu wa kuishi nao?! Mara zote huwezi!
Dunia haikupi option hiyo, Mungu hakupi hiyo option pia, na ndio maana shetani akaletwa duniani!
Ulishawahi kuwaza labda kwa nini shetani hakutupwa say,labda kwenye sayari nyingine (Mercury) lakin akaletwa duniani?! Kumbuka, aliyemtupa huku duniani alijua atakalokuja kufanya!!
Kaa, jifunze, na uchague maisha unayotaka kuishi kati ya yote unayoyaona!!
Hiyo ndio maana ya kuwa binadamu mdogo wangu. Kila la kheri!
Koment za kishoga,watakuja subiri,loading,napita,ha hah hah vijana acheni mambo ya ajabu kama una jipya kaa pembeni,wenye uelewa na mada watoe ufafanuzi
Hapigwi m2 kudadesa... Ila vjtombeo vkja nami najumuika huko huko kunako.... Nimemaliza nini