Exclusive: Video ya mlipuko wa bomu Arusha

Kwani lazima kila kitu uchangie? sometimes silence is the best tool

Nilishasema kwenye thread yangu yenye kichwa cha habari "Si kila thread lazima uchangie" watu wakaniponda kumbe leo nimepata mwenzangu....Thank you mkuu.....
 
 
kusoma hujui, hata picha nayo huelewi maudhui? kweli bdo ujinga ni janga kubwa ktk taifa letu
 
Video ya Lwakatare mnaikataa hii Mbowe mnaikubali mnawachanganya Watanzania.

Naona unafuatilia kwa karibu sana! Hamjui mambo mengi kijana, usiwe na wasiwasi watanzania wataamua ipi ya ukweli ipi feki.
 
Ile ya Rwakatare alikuwa anachezesha mikono na kujifuta makamasi kila wakati na kujichokona pua, haina tofauti na hii, mbona ile mliipinga kwa nguvu zote mkadai imetengenezwa, je hii sisi wananchi tutaamini vipi kama ni video ya ukweli! chadema mnatuchanganya, baada ya kuona mmezidiwa mmekuja na hoja mlikuwa na CCTV mbona kuna kazi! yaani nilistushwa mlivoikataa ile video ya Rwakatare mpaka nikaogopa!
 
Najua kuna mijitu imekuja imetoa mimacho kwenye hii video ili iwapunguzie kihoro walichonacho,
ili kuujua ukweli CDM walionao,wamekuta hola hakuna sura ya mapolisi gaidi,bado wakati wake hii
lengo ni kuwafanya mjue nini kilitokea,lakini ile ya magaidi mapolisi endeleeni kukaa na pressure zenu,
mpaka wakati mwafaka na mahali mwafaka utatolewa.Pole Chagonja na wenzio waliokutuma waambie
kibarua cha safari hii kigumu'
 
sasa hii video inaonesha nini zaidi? Mnajichanganya sana mara video zilifungwa sehemu lakini hii inaonekana imechukuliwa na mtu ndio maana haijatulia ila ile iliyoletwa na saanane ni zaili mchukuaji alijua mchezo wote ndio maana alimchukua Lema na Mbowe kwa mbele tena bila ya kuyumba yumba

Mungu ibariki Tanzania na waangamize mashetani wauwa watu CDM
 
Chama cha kijani wala mjani. Sekretari yote imejaa wala mirungi (Kinana), Wavuta bangi (Mwigulu na Nepi), mateja (waliobaki). Kwao nyesi siku zote huwa ni nyeupe.
 
Uzuri Mungu kaepusha balaa

"To know the enemy is half the victory"
 

Kwani Umeambiwa Polisi wao ni maroboti wasikimbie Risasi na Mabomu?au risasi na mabomu na Risasi yanaditect polisi?
 
bunduki hazikufuata immediately zimepigwa baada ya dakika tatu mimi sijui kukimbia ila dakika tatu utanikuta namaliza kilometa. sehemu iliyopigwa bomu ni mbali kabisa na walikokuwa viongozi. wangemtaka mbowe hapo rahisi sana.

 
Video ya Lwakatare mnaikataa hii Mbowe mnaikubali mnawachanganya Watanzania.

Hakuna mtanzania anayechanganywa bali wewe ndio unajichanganya.. Hakuna anaeshikiwa akili humu!

Sent from my HTC Desire S using Tapatalk 2
 
Nimewahi kuambiwa kwamba ili kuepuka polisi kuhusishwa na vurugu za kwenye vyama sasa wanakaa mbali kabisa
na mkutano unakoendelea. wanaweza kuwa mita kama 100 toka sehemu ya mkutano.

Hata waliokuwa hapo wengi hawakusikia bomu likilipuka, nafikiri hata Mbowe ilimchukua muda kutambua kuna bomu limelipuka.
 
Hahaha .. hii ni uhakika kabisa kuwa chadema imetoa wafuasi wake kafara. Hii dxhambi haitawaacha.
unawadhalilisha wazazi wako mkuu sababu wanaamin wana mtoto mwenye akili timamu sasa mbona unaonekana unawaza kama mtoto anae lilia chuchu????una mdhalilisha zaid maako alie kupa virutubisho vyote lakini bado huna akili au ni usahabiki tu unaokuendeshaa???unajilemaza kifikra we endelea kuigiza huna akili sababu ya posho za nape utakuwa ivoivo milele shauri yako!!!!
 

Ilibidi wakae mbali maana wahusika walikuwa hawataki ulinzi wa polisi na walishaonesha kutaka shari toka mwanzo.

Kilichotokea ni kwamba polisi walikuwa standby kwa ajili ya kuzuia fujo kuliko kuokoa maisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…