EXCLUSIVE: How Nairobi BRT buses look!

Shida ya hizi basi ni inabidi watu wengi wasimame. Zimejaa hapa Europe. Ziko na very few seats na space kubwa ni ya kusimama. Huku distance yenye mtu anatravel huwa fupi so hakuna shida but Nai distance kutoka CBD hadi Adams Arcade au Pipeline au Donholm enyewe mtu hawezi simama it's too far. Afadhali hizi basi za saa hii sura mbaya zenye wame-squeeze viti pamoja lakini mtu anakaa chini akitravel.
Kama mtaweka special roads kama Dar hilo halitakua tatizo kwasababu hizo bus hazito simama kwenye foleni. Unless huo umbali ni zaidi ya Km 100! Kwa jinsi Nairobi ilivyo ndogo sizani kama inazidi ata Km 25!
 
unajua hawatakagi kuamini Bongo ni nzuri kuliko Nai ndo maana wanaona aibu kuja kujifunza
Hakuta kua na maana ya BRT labda kwa naongea na ma zuzu hapo sawa, kua na road zake inakuepusha kunasa kwenye jam

Nifunze kwa tulioweza nn maana ya BRT mbuzi nyie sio kuvimba ujinga hapa
Hii ndio infrastructure hapa kabla hawajaizindua View attachment 1093543
 
East Africa kuna shida kweli. Walichora barabara na lipstick na wengine wakapaka ndege rangi ya nyumba duh!
😁 Na nyinyi choreni hizi wireless connection kwa shadow ili hizo boxes zenu ziwe kama BRT buses

20190510_210127.jpg
 
Kwa akili yako unadhani hili basu lina mlango mmoja ipo miwili upande wanaposhukia abiria
Wewe vipi?, ipo wapi hiyo milango miwili, labda useme mlango wa pili upo upande wa kulia wa hili bus, lakini upande huu mlango ni huo mmoja pekee, labda kama huo mlango unaonekana kwa baadhi ya watu wachache sio kila mtu anaweza kuuona,(Invisible door)
 
Back
Top Bottom