EWURA Tracking POST

Kachanchabuseta

JF-Expert Member
Mar 8, 2010
7,269
675
WanaJF nimeona nianza kufanya Tracking ya EWURA katika ukokotoaji wa bei za mafuta maana nimeona wanatudanganya leo tarehe 29.08.2011 wamashusha bei za petrol kwa % kadhaa lakini after two watakuja na kusema bei zimepanda kwa sababu ya vigezo vyao.

Vigezo vya UKOKOTOAJI
1. Kupanda na kushuka kwa thamani ya shilling vs Dollar
2. Kupanda na kushuka kwa pipa la mafuta katika soko la dunia

Post hii nafanya Tracking ya fluaction ya mafuta katika soko la dunia na exchange rate, nimeamua kutumia hii njia maana EWURA wanatumia fomula ambayo mimi kama Raia wa kawaida siwezi kuelewa. Hii ni manual Tracking ambayo inaweza kumsadia layman kuelewa wezi unaofanywa na EWURA. Kwahiyo kila siku nitakuwa napost changes katika vigezo hapo juu

Ewura Price Dar es salaam 29.08.2011 :Petrol Tshs 2070 Diesel: 1999

Leo 29.08.2011
Exchange Rate as per BOT
Unit Buying Selling

USD 1588.98 1621.41





Crude oil Soko la Dunia
Crude Oil
85.39
+ 0.02%



leo 30.08.201

BoT Rate
Buying Selling
1588.62 1621.05


Crude Oil
87.36
+ 0.10%
 
Kwa muda sasa kumekuwa na dalili za waziwazi kwa Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na maji kushindwa kuleta tija kwa watanzania licha ya kuwa kwa kiasi kikubwa imekuwa ikikusanya pesa za wanachi ili kujiendesha, kwa mfano kila mtumiaji wa umeme anatozwa 1% ya utility charges kama mchango kwa EWURA lakini taasisi hiyo imekuwa haina masrahi yoyote kwa mwananchi wa kawaida, Ushauri kwa muheshimiwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Ni kuwapa Zawadi wa Tanzania kama kumbukumbu yake ya kuwa Madarakani kwa Kuifuta Ewura.
Nawasilisha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom