Mawazo mazuri sana,, hongera kwa hilo. Ingawa haya ni kama maneno ya kiongozi wa dini kuwaasa waumini waache maovu ilihali waliopo ndani ya nyumba hiyo ya dini ni wale waliozunguukwa na wigo wa maadili........
Namaanisha kuwa wahusika unaowashari wengi hawako huku! Wapo fb na insta.